Mke wangu wa miaka 5, watoto 3 moja alikuja nae juzi kati kaniumiza sana kidogo ningepoteza jicho.
Alingia kwenye facebook yangu akasoma message zote zingine za nyuma kabla sijaanza kuishi nae, baada ya kuisoma kupitia computer ya nyumbani nikiwa sikulog off, akaanza kunitumia message za matusi. Nilijibu moja tu kwa kumwambia si nzuri kunitumia message design hiyo.
Nilivyorudi nyumbani nikiwa nimelala sofani..akanirushia simu jichoni kidogo angenitobolea jicho kabisa. Nikaanza kulia kwa maumivu na akafunga mlango kabisa nilivyotoka nje nilifanikiwa kuchukua pikipiki kunipeleka kupata matibabu.
Cha ajabu akanifuata hospitalini na akawa anaendelea na maneno yake watu walimshangaa sana ila nilikataa kurudi nae nyumbani na kulala kwa jamaa yangu asubuhi akaamka akiwa anajua siwezi kwenda kazini kutokana na maumivu yangu akaenda mwenyewe na badala ya kutoa taarifa nzuri akaandika barua ndefu kunianika kwa boss wangu kwa lengo la kunifukuzia kazini.
Kwa bahati nzuri secretary hakufikisha ile barua mambo yote ya ndani aliandika now ananiomba msamaha nifanyaje jamani?
Alingia kwenye facebook yangu akasoma message zote zingine za nyuma kabla sijaanza kuishi nae, baada ya kuisoma kupitia computer ya nyumbani nikiwa sikulog off, akaanza kunitumia message za matusi. Nilijibu moja tu kwa kumwambia si nzuri kunitumia message design hiyo.
Nilivyorudi nyumbani nikiwa nimelala sofani..akanirushia simu jichoni kidogo angenitobolea jicho kabisa. Nikaanza kulia kwa maumivu na akafunga mlango kabisa nilivyotoka nje nilifanikiwa kuchukua pikipiki kunipeleka kupata matibabu.
Cha ajabu akanifuata hospitalini na akawa anaendelea na maneno yake watu walimshangaa sana ila nilikataa kurudi nae nyumbani na kulala kwa jamaa yangu asubuhi akaamka akiwa anajua siwezi kwenda kazini kutokana na maumivu yangu akaenda mwenyewe na badala ya kutoa taarifa nzuri akaandika barua ndefu kunianika kwa boss wangu kwa lengo la kunifukuzia kazini.
Kwa bahati nzuri secretary hakufikisha ile barua mambo yote ya ndani aliandika now ananiomba msamaha nifanyaje jamani?