Askofu Kilaini na Askofu Ausebius Nzingirwa hawa ni wanufaika wa pesa za Tegeta Escrow.
Je ni kwanini maaskofu hawa waliopokea pesa za ESCROW wote ni wale tu wasaidizi wa Pengo? Japo Kilaini alihamishwa lakini katokea kwa Pengo. Huyu mwingine Nzingirwa ni msaidizi wa Pengo. Je Pengo kwanini anapendekeza wasaidizi wenye kasoro kimaadili?
Tukiwa tunaendelea kutafakari ufufuo wa Yesu Kristo, Kanisa linatakiwa lichunguze maadili ya Cardnali Pengo kama anafaa kuendelea kulea kondoo wa bwana na ikiwezekana limstaafishe kwa manufaa ya kanisa.
Mshiriki wa Kanisa.
Je ni kwanini maaskofu hawa waliopokea pesa za ESCROW wote ni wale tu wasaidizi wa Pengo? Japo Kilaini alihamishwa lakini katokea kwa Pengo. Huyu mwingine Nzingirwa ni msaidizi wa Pengo. Je Pengo kwanini anapendekeza wasaidizi wenye kasoro kimaadili?
Tukiwa tunaendelea kutafakari ufufuo wa Yesu Kristo, Kanisa linatakiwa lichunguze maadili ya Cardnali Pengo kama anafaa kuendelea kulea kondoo wa bwana na ikiwezekana limstaafishe kwa manufaa ya kanisa.
Mshiriki wa Kanisa.