jamani wana jf. Sio kama nimetunga ila nikweli. Shost yangu kapewa likizo na bwana wake mpaka kombe la dunia liishe. Hv kweli ni haki? Eti tv ipo na tbc1 na tbc2 zipo lakini anaenda kuangalia mpira kwenye bar...duh? Badirikeni jaman mnadanganya mnaenda kwenye mpira kumbe mnaenda kuchepuka.