Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
(Jana Jioni). Huyu mwanamke tumezoeana sana. Mazoea yetu yalianzaia kwenye biashara tu. Kwa kuwa niko mchangamfu na mcheshi, mwanamke huyu kajikuta amezama kwenye dimbwi zito la mahaba
Katika pekenyua yangu ya hapa na pale, nikagundua kuwa ni mke wa mtu. Kaniambia kuwa mumewe si mtu wa nyumbani. Hivyo niende kwake akanitambulishe kwa mumewe kama Binamu, ili siku zijazo niwe nakwenda kumtembelea kwake
Wanawake ni wauaji asikwambie mtu. Eti mimi na midevu hii nikatambulishwe kama binamu wa kibinti kidogo kidogo hivi (Binamu kinyama cha Hamu). Hata uwe mwanaume mpole kiasi gani, kwa hili lazima ushtuke. Binti kasahau kabisa kuwa hapa duniani kuna jera na Gesti, kuna ukavu na vilainishi
Nimemwambia siwezi. Nimemuomba yeye ndiye aje kwangu kunitembelea pale itakapombidi. Nimemwambia kuwa "Naishi Gesti".
Na hapo bado sijamchapa na muhogo wa Jang'ombe. Maneno tu na tabasamu tayari lishamdatisha. Kwenye biashara yangu hakosi kuja zaidi ya mara tatu kwa siku akiwa kavalia nguo tofauti tofauti
Wanawake ni wauaji kwa kweli
Katika pekenyua yangu ya hapa na pale, nikagundua kuwa ni mke wa mtu. Kaniambia kuwa mumewe si mtu wa nyumbani. Hivyo niende kwake akanitambulishe kwa mumewe kama Binamu, ili siku zijazo niwe nakwenda kumtembelea kwake
Wanawake ni wauaji asikwambie mtu. Eti mimi na midevu hii nikatambulishwe kama binamu wa kibinti kidogo kidogo hivi (Binamu kinyama cha Hamu). Hata uwe mwanaume mpole kiasi gani, kwa hili lazima ushtuke. Binti kasahau kabisa kuwa hapa duniani kuna jera na Gesti, kuna ukavu na vilainishi
Nimemwambia siwezi. Nimemuomba yeye ndiye aje kwangu kunitembelea pale itakapombidi. Nimemwambia kuwa "Naishi Gesti".
Na hapo bado sijamchapa na muhogo wa Jang'ombe. Maneno tu na tabasamu tayari lishamdatisha. Kwenye biashara yangu hakosi kuja zaidi ya mara tatu kwa siku akiwa kavalia nguo tofauti tofauti
Wanawake ni wauaji kwa kweli