Hapa inaonekana wwe ndiyo unamsaidia sana jamaa kwenye shida zake,na ndiyo maana unamdharau hadi kufikia kiwango cha kumtongoza mke wake huku ukijuwa kabisa kua huyo ni shemeji yako! Achaa mazarau hata kama sometimes unampiga jamaa tuff,maisha hayatabiriki na kesho yako huijuwi pia, wwe jamaa angemtongoza mke wako ungefurahi!!?? Usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio,na hiyo ndiyo kanuni ya haki!!