Kanikataa, ila anakasirika akiniona na mwanamke mwengine

Kanikataa, ila anakasirika akiniona na mwanamke mwengine

matumizi yako ya neno sheeda ni jibu tosha: unaonekana ni mtu wa "taarabu" kiasi kwamba demu alipokuchomolea ulianza tabia za kuchukua mademu na kujipitisha mbele yake ili aone kuwa kukukataa hajakuathiri kitu na demu keshakusoma lendo ndio maana akikuona anakupa ndita za maana.

Umejuaje kama akikuona na mademu anakasirika? amewahi kutamka neno gani kuashiria hilo? Kama unatazama uso ndugu yangu unapotea "machozi yaanawakilisha furaha na huzuni pia"

Kitu gani kinakufanya u-take trouble ya kumchunguza reaction huyo mdada?...na kwa nini uitafute reaction yake?...WE KUBALIANA NA UKWELI UMEKATALIWA BAAASI...LIFE GOES ON

nasema hivo kwa sababu if kama tukionana basi tunasalimiana poa tu alaf kila mtu amakwenda na zake ila nikiwa na ma bint wengin kama marafik hata nikimuonesh tabasam anageuka upanda na ku pretend kama hajaniona vile wakat yy ndio amenion first kulik mm
 
Mwambie you are already on an open road she can't you have back....,
 
Ungekuwa umempotezea usingejua km akikuona na wadadaz anakasirika
 
Naombeni ushauri wana JF.

Baada ya kumtokea huyu msichana kanikataa nikaona hakuna sheeda ya kung'ang'ania nikampotezea ila cha ajabu akiniona mabinti wengine anakasirika.

Hata kama tunapiga story za kawaida tu yeye anaonyesha kuchukia na hapendi kuona hivyo even though mimi nilikwisha mpotezea yaani sina mahusiano naye.

Nifanyaje

Soma dogo acha ngono za utotoni
 
Back
Top Bottom