Kanikataa, ila anakasirika akiniona na mwanamke mwengine

Kanikataa, ila anakasirika akiniona na mwanamke mwengine

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
Naombeni ushauri wana JF.

Baada ya kumtokea huyu msichana kanikataa nikaona hakuna sheeda ya kung'ang'ania nikampotezea ila cha ajabu akiniona mabinti wengine anakasirika.

Hata kama tunapiga story za kawaida tu yeye anaonyesha kuchukia na hapendi kuona hivyo even though mimi nilikwisha mpotezea yaani sina mahusiano naye.

Nifanyaje
 
Umeshampotezea, uko na madem wengine, ila bado una-notice 'akikukasirikia' coz uko na hao na madem. Haha don't fool yourself bro, HUJAMPOTEZEA.

+ Its ridiculous to assume she does feel that way, anapoteza mda kutafsiri mdada kaona wivu kumbe jamaa anamisread expressions za mdada( absolutely unnecessary waste of time).
Dude move on and dont look back (That is if u really want to move on)

Mapenzi ni shiiiidah!
 
Mmmmmmmnh akichukia mpe kitu roho yapenda ata tabasamu
 
naombeni ushauri wana jf baada ya kumtokea huyu dem kanikataa nikaona hakuna sheeda ya kung'ang'ania nikampotezea ila cha ajab akiniona mabint wengin hata kama tunapiga story za kawaida tu yeye anaonesh kuchukia na hapendi kuona hivyo even though mm nlikusha mpotezea nn dawa yake huyu??


matumizi yako ya neno sheeda ni jibu tosha: unaonekana ni mtu wa "taarabu" kiasi kwamba demu alipokuchomolea ulianza tabia za kuchukua mademu na kujipitisha mbele yake ili aone kuwa kukukataa hajakuathiri kitu na demu keshakusoma lendo ndio maana akikuona anakupa ndita za maana.

Umejuaje kama akikuona na mademu anakasirika? amewahi kutamka neno gani kuashiria hilo? Kama unatazama uso ndugu yangu unapotea "machozi yaanawakilisha furaha na huzuni pia"

Kitu gani kinakufanya u-take trouble ya kumchunguza reaction huyo mdada?...na kwa nini uitafute reaction yake?...WE KUBALIANA NA UKWELI UMEKATALIWA BAAASI...LIFE GOES ON
 
Ulitaka afurahie kwani dada yako huyo kwamba umemletea wifi amfurahie, wacha kujirusha roho bhana.
 
Umeshampotezea, uko na madem wengine, ila bado una-notice 'akikukasirikia' coz uko na hao na madem. Haha don't fool yourself bro, HUJAMPOTEZEA.

Hahahaha kama nimekuelewa vile hapo mkuu.
 
+ Its ridiculous to assume she does feel that way, anapoteza mda kutafsiri mdada kaona wivu kumbe jamaa anamisread expressions za mdada( absolutely unnecessary waste of time).
Dude move on and dont look back (That is if u really want to move on)

Mapenzi ni shiiiidah!

Umeshamaliza bruh, kazi kwake sasa.
 
Jealousy- the most powerful emotion.....
ukiweza kuitumia tu she is all yours
 
Endelea kumpoteze.

Ila kwa upande mwingine maybe she was playing hard to get, wewe umemtongoza kidogo ukamuacha. Si unajua wadada wengine wanataka umfuatiliiiiiiiiie ndo akubali, kwaiyo labda anakupenda.
 
wewe endelea na mademu zako wengine, yeye achana aendeleena chuki zake....
 
Back
Top Bottom