Kaniambia simridhishi

Kaniambia simridhishi

madem ni wataalam tosha wanalalamika machal wa Dar hawawaridhishi na ukifuatilia chakula kikuu kwa madume ya Dar ni chips
 
madem ni wataalam tosha wanalalamika machal wa Dar hawawaridhishi na ukifuatilia chakula kikuu kwa madume ya Dar ni chips
Acha kukariri chips dar ni km mboga, ugali ndo mpango mzma
 
Wana jf naandika kwa masikitiko makubwa

Nimepata mpenzi nimekutana nae kama mara nne lakin sijamridhisha hata mara moja! baada ya kukaa nae kupiga story akaamua kuniambia alikuwa ana danganya ili asinichoshe kwani nilikuwa najilazimisha na kujikaza tu wakati mwengine nilitumia mbinu nyengine kama vidole ili kumfikisha ila alikuwa ana fake kufika!!sababu ya yote ni kuwahi kufika mapema nikiingiza namwaga tena kagoli kamoja.

Kwasasa kakataa kabisa kukutana nami kwani namtesa kwa kumuacha njian na kufikiria kufanya mda wote!Nimepewa likizo mpaka pale nitakapokuwa vizuri

Hakuna kitu kinauma kama kutokumfikisha mwanamke,wadada ni vyema kuwa wawazi kwa w'me wenu kuliko kumsaliti au kutafuta mwengine wa kukuridhisha kabla hamjapata ufumbuzi wa tatizo kwasasa nimeanza zoezi na kula vyakula vya kuongeza nguvu (nimeacha punyeto,chipsi na soda) sitaki kutumia njia za mkato.

Nitaleta mrejesho baada ya wiki 1
Kuwa na confidence then wkt wa kudo relax ucwe na pupa.afu weka akilin kwmb unaweza kuendelea ukishamwaga unaunga ju kw ju.me naamin saikoloji ndo tatizo kubw la kuwahi.me naunga ht v3 hd v4 bila kupumua kwa kujiamin tu inatosha.ila wkt mwngne mwanamke anategea anawez akakudissapoint ajitoe na yy kukuchezea c ukimaliza hrk ye awe wakwanza kukulaum.wanawake mnakosa ubunif pia afu sa ingne papuch inaloa sn hpo lazma ikuruke
 
Safi mkuu fanya mazoezi kula vizuri na upunguze madeni utakuja nipa mrejesho!
 
Bora kakuambia anakupenda huyo kuliko angekausha af apigww miti na we'engine
 
kaka endelea kutopiga punyeto fanya mazoezi ya kukimbia (kupata pumzi) na push-up kujenga stamina/ukakamavu. pia kula mlo kamili, pumzika kamili kabla ya kwenda kupiga show. ikibid tupa kondom kuleeee, upate mtelezooo
 
pia uache kupania papuchi cheza bila mbwembwe tumia akili sana kuliko nguvu ukitumia nguvu sana utafeli kijana.......
 
Hii kitu ni mtihani sana kwenye ndoa nyingi, ni wachache wanaoambiwa na kulifanyia kazi wengi wao ukimwambia hivyo utaambulia mitusi mpk utaomba poo. Kama ujauziwa kesi ya kuambiwa umesha pata mtu mwingine anakupumulia vizuri.
 
Hivi hawa wanawake watafika lini kileleni?watuambie basi tuwashike wapi ili wafike waendako.sasa unakuta demu mwenyewe katulia kama ng'ombe aliyekufa sasa unategemea utamfikishaje?
 
Back
Top Bottom