Kaniacha bila sababu

Kaniacha bila sababu

ni pm namba yake, mimi uwa nawasaidia watu wenye shida kama yako, na wengi wamefanikiwa kupitia maneno yangu, kwa hiyo na wewe nipe namba ya huyo dada, baada ya siku 6 utaona majibu yake. karibu sana
 
Siku hizi hakuna biashara ya kusubiri embe liive mtini, wenzako tunakula na chumvi!!!!
 
Habarini za leo, poleni na majukumu.

Kuna post nilishaweka hapa inasema "Mpenzi Wangu Hataki Nimfuatilie Mambo Yake", Juzi Kanitamkia Wazi Wazi Kua Hanitaki Tena. Kinachoniuma Ni Kwamba, Pesa Nilikua Nampa But Cjapata Chochote Kwake, Tuliwekeana Kua Tutasubiriana Hadi Ndoa. Yaani Sijui Nimfanyeje.

Mtoto mdogo kakojoe ukalale, unatujazia server
 
Habarini za leo, poleni na majukumu.

Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa nilikua nampa. Lakini sijapata chochote kwake, tuliwekeana kua tutasubiriana hadi ndoa. Yani sijui nimfanyeje.

Unajua lakini kama ww ni mtoto mdogo bado??? Eeeh!?
 
Amekula pesa zako hujawahi kuonja tunda .wajinga ndo waliwao
 
Sasa kama hujui server kwanini we sio mtoto? Hv umepata distinction, credit, pass, merit au nn?
 
labda alihisi we mgonjwa mwanaume gan unasems msubir ad ndoa miaka ya leo...au cyo type yake daah pole kwa kuliwa
 
kwa kuliwa pesa cku iz ukipata unachapa kwanza il ujue kama mzgo mbovu au mzma ...madem wa sasa iv vimeo
 
Hajakuacha bila sababu, anasababu zake sema wewe ndio hujazijua ni sababu gan kakuacha.
 
Back
Top Bottom