Kaniacha bila sababu, moyo unaniuma

Ushauri wangu kwako mhimu huyo kama si tabia yake ya asili nafikiri kwa muda wote tabia yake ulishaijua na kama si hivyo ujue huyo alishapata mshika dau mwingine hapo analinganisha anachopata upande wa pili na kwako!
 
Kiujumla hilo sio fungu lako kaa utulie ungoje watakuja wenyewe
 
Umezidiwa kete na wajanja,

Tafuta wa darasa la saba kama wa 4 kakushinda
 
Nimefuata ushauri wenu wakuu.. maa dah.. mtu akioendwa anazingua... full malalamiko. Bora nikomae na maisha yangu tu.
 
hivi mbna unakua kama gari la mkaa wiki moja gereji week moja barabaran..... embu achana nae umri huo unasumbuliwa na kibinti cha early 20's........... na yet hujui nn cha kufanya.
sifa ya mwanaume ni kua na msimamo katika maamuzi kuwa hvyo bas.
Nimecheka kweli kweli comment yako!!
 
'Atakuwa ameanza kunywa mirinda nyeusi.."chunguza vizuri
 
Huyu msela asaiv ana miaka kati ya 30 au 30 na 1 (30-31yrs) kama sijakosea na binti kwa sasa ndo ana umri kama wa jamaa wa wakati huo yaani kati ya 24 - 25yrs kidogo kiakili amekomaa..


Sasa sijui walifikia wapi, sijui jamaa alipataga mwingine basi natumai wako pamoja huenda ndo mke wake wa sasa, na binti navyohisi kama aliachwa na jamaa basi atakua alipata mjuba na alizalishwa na either ana mtoto/watoto tayari..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…