Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Baada ya Uteuzi wake Waziri wetu wa Mambo ya Ndani tulikuwa tukimuona kila wakati kwenye media akija na matukio, maelekezo na amri mbalimbali.
For a while sasa kumekuwa na ukimya kutoka kwake, hii si kawaida yake, wacha niwaulizee Wakuu wa jamvi alipo Mkuu wetu huyu wa mambo ya ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
For a while sasa kumekuwa na ukimya kutoka kwake, hii si kawaida yake, wacha niwaulizee Wakuu wa jamvi alipo Mkuu wetu huyu wa mambo ya ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app