Yupi WA ccm aliyewahi kufungwa kwa tuhuma kama zakeHilo ndo Tatizo letu..
Kwa nini Kama ni kweli hakufungwa?
Angalieni alichosema juu ya uchafu wa ccm, ni wabunge wangapi wa ccm wanathubutu kusema anayosema Lugola?
We sio bure, utakuwa umejaza "taka mwili" kwenye kichwa. Unajua kesi iliishaje na hukumu yake ilikuaje?Na Kama ni mkosaji Kwa nini hakufungwa?
Ukoo wa panya ni uleuleMzalendo? muulize ile kesi ya Kisutu ilikuwa ya nini?
Au ni UZALENDO upi unaomaanisha wewe.?