We mnyarwanda mwambie Kagame aondoe wahuni wake huko Drc wanaojiita M23.Check majigambo ya Colonel hapa then baada ya kukutana na moto🤣🤣🤣🤣
Kua litelemke kua lishuke Rwanda haitajaribu kurusha hata jiwe katika ardhi ya Congo.Colonel Olonje anaaga kabisa baada ya kula kisago cha mbwa mwizi.
Usimchezee chatu
🤣🤣🤣🤣Check majigambo ya Colonel hapa then baada ya kukutana na moto🤣🤣🤣🤣
View attachment 2250802
View attachment 2250803