Hio huwa mwanzo mkishatiwa kwenye himaya hamna ujanjaUnazani na wao huwaamini wanaume % zote no ni mguu 1 ndani mwingine nje utakisikia wanaume wote baba yao mmoja usimwamini ukajisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kipochi manyoya mkuu! Network zikihamia kwa Dulla kichwa waz tunajisahau sanaUnazani na wao huwaamini wanaume % zote no ni mguu 1 ndani mwingine nje utakisikia wanaume wote baba yao mmoja usimwamini ukajisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kipochi manyoya mkuu! Network zikihamia kwa Dulla kichwa waz tunajisahau sana
Ndiyo kusalitiana sasa usiombeHio huwa mwanzo mkishatiwa kwenye himaya hamna ujanja
Mtihani huko hapo
hawajashurutisha kuoa kwenye maandiko,ila funguka mkuu mbona.....Ndugu zangu (me) kamwe usimwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama ako mzazi!! hata kama ni mzur kiasi gani,haijalishi anakupikia birian au lah! unaweza jitoa kwa moyo wako wote,unaweza kushindia mihogo na maji yy akala chips kuku lkn mwishowe akakusaliti na kukufanyia unyama wa ajabu! Hebu jiulize swala dogo tu! Kama anaweza kutoa mimba au kutelekeza kichanga cha Mwenyezi Mungu jalalani ww n nani haswa akuache! Hawa viumbe hawaeleweki! Mwanamke unaekutana nae wakati keshaota meno 32 anaweza kukufanyia lolote na kwa wakatiwowote! Usimchekee sababu sio mama ako mzazi! Wanaume wenzangu mtanielewa ila wavulana siwalazimishi kunielewa.Mwanamke unaemuweka ndani na kumpa siri zako zote ndo adui ako mkubwa kesho! Hawa viumbe wametumwa kutuangamiza!
WanawakeAkina nani
Sipendi dharau kama hizi, umeolewa kweli wewe?Na tutawakomesha mpaka mnyokeee udhaifu wenu si ni pupuchuu mtasema yoteee mxeeew zenu
Wacha we si kweli papuchi ni udhaifu wetu kiivo!Na tutawakomesha mpaka mnyokeee udhaifu wenu si ni pupuchuu mtasema yoteee mxeeew zenu
Ndugu zangu (me) kamwe usimwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama ako mzazi!! hata kama ni mzur kiasi gani,haijalishi anakupikia birian au lah! unaweza jitoa kwa moyo wako wote,unaweza kushindia mihogo na maji yy akala chips kuku lkn mwishowe akakusaliti na kukufanyia unyama wa ajabu! Hebu jiulize swala dogo tu! Kama anaweza kutoa mimba au kutelekeza kichanga cha Mwenyezi Mungu jalalani ww n nani haswa akuache! Hawa viumbe hawaeleweki! Mwanamke unaekutana nae wakati keshaota meno 32 anaweza kukufanyia lolote na kwa wakatiwowote! Usimchekee sababu sio mama ako mzazi! Wanaume wenzangu mtanielewa ila wavulana siwalazimishi kunielewa.Mwanamke unaemuweka ndani na kumpa siri zako zote ndo adui ako mkubwa kesho! Hawa viumbe wametumwa kutuangamiza!
Ndugu zangu (me) kamwe usimwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama ako mzazi!! hata kama ni mzur kiasi gani,haijalishi anakupikia birian au lah! unaweza jitoa kwa moyo wako wote,unaweza kushindia mihogo na maji yy akala chips kuku lkn mwishowe akakusaliti na kukufanyia unyama wa ajabu! Hebu jiulize swala dogo tu! Kama anaweza kutoa mimba au kutelekeza kichanga cha Mwenyezi Mungu jalalani ww n nani haswa akuache! Hawa viumbe hawaeleweki! Mwanamke unaekutana nae wakati keshaota meno 32 anaweza kukufanyia lolote na kwa wakatiwowote! Usimchekee sababu sio mama ako mzazi! Wanaume wenzangu mtanielewa ila wavulana siwalazimishi kunielewa.Mwanamke unaemuweka ndani na kumpa siri zako zote ndo adui ako mkubwa kesho! Hawa viumbe wametumwa kutuangamiza!
Mimi kama James Bond, nakugegeda but huambui kituNa tutawakomesha mpaka mnyokeee udhaifu wenu si ni pupuchuu mtasema yoteee mxeeew zenu