Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Mapemzi bwana acha hawa viumbe , bwana akionyesha dalili hata usitake suruhu huko ni kujichosha sana ,

Unapaswa tu utafute mlango wa kutokea maisha ya endeleee huwa inaumiza unakuta umeshamtolea na mahari
Huyu Mimi kabisa man,,4 years ya furaha imeenda kwenye bin
 
Kuna wakati baada ya kuachana nae, nilijikaza, nikadhamiria kuacha kabisa kumtafuta ingawa namba zake za simu nilikuwa nimekariri, niliweza kwa takribani mwezi, Ila siku moja night nikiwa na drive Kuna nyimbo moja ika play, aiseeeh nilimkumbuka afu nikaumiaaa 😥,kiasi ambacho siwezi hata kuelezea,nikajikuta tu nimeshika phone, nikamtxt "Nimekumiss sana".

Jamani achaneni na kupenda nyie,hizo formula za kibabe mnazotoa humu zitaapply kama haukuwa unampenda kutoka moyoni.
 
Kuna wakati baada ya kuachana nae, nilijikaza, nikadhamiria kuacha kabisa kumtafuta ingawa namba zake za simu nilikuwa nimekariri, niliweza kwa takribani mwezi, Ila siku moja night nikiwa na drive Kuna nyimbo moja ika play, aiseeeh nilimkumbuka afu nikaumiaaa ,kiasi ambacho siwezi hata kuelezea,nikajikuta tu nimeshika phone, nikamtxt "Nimekumiss sana".

Jamani achaneni na kupenda nyie,hizo formula za kibabe mnazotoa humu zitaapply kama haukuwa unampenda kutoka moyoni.
Daah pole sana kaka...!!
 
Daah pole sana kaka...!!
Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani🚶"
 
Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani"
Kabisaa... Me bhana kuna katoto nilikapenda sanaa yani ingekuwa sijawahi kuumizwa kabla ya kuwa nae bhasi ningekiwa mwehuu kabisa.. Yani alianza visa from no where tuachane hata sababu hanaa akatumia simu nyingine kunitega eti aone kama mimi mwaminifu sasa mwanaume mwanaume tu nikajaa king eti kakaanza kumind aisee yani nilimtumia msg kama tatu tu kumchana ukweli alafu nkamwambia hii ni msg yangu ya mwisho. Yule manzi hakuamini ulipita mwaka mzima sikumtafuta akaja kunitxt nikamjibu simple tukachat nkampotezea tena nkaona kama ananisumbua tu nkawa sijibu msg zake.

Huwa nasema A REALLY MAN GET HURT IN LOVE ONLY ONCE..
 
Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani"
Mimi tukiachana memory zote nafta staki kukumbuka lolote hata tukikutana sishtuki, memories zote nzuri au mbaya na zi delete wallah
 
Kabisaa... Me bhana kuna katoto nilikapenda sanaa yani ingekuwa sijawahi kuumizwa kabla ya kuwa nae bhasi ningekiwa mwehuu kabisa.. Yani alianza visa from no where tuachane hata sababu hanaa akatumia simu nyingine kunitega eti aone kama mimi mwaminifu sasa mwanaume mwanaume tu nikajaa king eti kakaanza kumind aisee yani nilimtumia msg kama tatu tu kumchana ukweli alafu nkamwambia hii ni msg yangu ya mwisho. Yule manzi hakuamini ulipita mwaka mzima sikumtafuta akaja kunitxt nikamjibu simple tukachat nkampotezea tena nkaona kama ananisumbua tu nkawa sijibu msg zake.

Huwa nasema A REALLY MAN GET HURT IN LOVE ONLY ONCE..
Yeah, nakubali.Tangu niumizwe na yule mwanamke, sidhani kama kuna yeyote atakaekuja kunibabaisha.
 
Nimeshapenda Ila kuweka kitu kilichoniumiza naki delete kabisa, tena Kuna niliopenda moyoni sijawahi penda Ila ilibidi niwaache tu the moment I blocked him sijawahi hata kumtafta na ctaki kumwona loh
Mimi niliapa kabisa kwamba sitakuja kumtafuta,niliweza for almost mwezi na siku kadhaa, Ila Kuna night moja nikiwa na drive gari, Kuna mziki mmoja ndo uliharibua kabisa siku yangu. Yaani nilimkumbuka, nikashindwa kabisa kujizuia, nahivi namamba zilikuwa kichwani😃 nilmtxt akajibu.Ila baadae akili ilipokuja kukaa sawa, nilijiona mjinga fulani hivi, nikahisi huenda huko aliko alifikirii nateseka Sana(Niko desperate).
 
Nimeshapenda Ila kuweka kitu kilichoniumiza naki delete kabisa, tena Kuna niliopenda moyoni sijawahi penda Ila ilibidi niwaache tu the moment I blocked him sijawahi hata kumtafta na ctaki kumwona loh
Hao jamaa walikuwa hawakupelekei moto wa maana.
 
Kuna wakati baada ya kuachana nae, nilijikaza, nikadhamiria kuacha kabisa kumtafuta ingawa namba zake za simu nilikuwa nimekariri, niliweza kwa takribani mwezi, Ila siku moja night nikiwa na drive Kuna nyimbo moja ika play, aiseeeh nilimkumbuka afu nikaumiaaa ,kiasi ambacho siwezi hata kuelezea,nikajikuta tu nimeshika phone, nikamtxt "Nimekumiss sana".

Jamani achaneni na kupenda nyie,hizo formula za kibabe mnazotoa humu zitaapply kama haukuwa unampenda kutoka moyoni.
Pole sana chief
 
Hao jamaa walikuwa hawakupelekei moto wa maana.
Ishu sio mtu kupelekewa moto Ila ni hisia tu ambazo zinamfanya mtu amiss uwepo wake,company,vituko na nyakati zote za furaha. Uzuri/Ubaya wa maisha ni kwamba kuna nyakati nzuri/mbaya pia furaha/huzuni lazima tuzipitie.
 
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia

I second u, naumia zaidi sababu tuna mtt na nampenda kuliko kitu chochote na amekuwa so emotional baada ya kugundua baba yake sipo sawa, ukweli ni kwamba ameshindwa kubalance btn new love na mtt amemuweka pembeni am not oky with that as mtt anapata mateso ambayo hastahili,

I know hajafata chochote huku zaidi ya mapenz ambayo mm may be nimeshindwa kuonesha ila namuonea huruma kiumbe huyu wangu wa pekee as i have to move on with my life as am broke na nimeharibu mpaka kazi yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom