jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,703
- 7,581
Sasa Wanawake wenzio si watakushangaa sana,maana wengi wao bila pesa no penzi!?Yeah why not, kikubwa niwe nimempenda kweli
Sasa Wanawake wenzio si watakushangaa sana,maana wengi wao bila pesa no penzi!?Yeah why not, kikubwa niwe nimempenda kweli
Huyu Mimi kabisa man,,4 years ya furaha imeenda kwenye binMapemzi bwana acha hawa viumbe , bwana akionyesha dalili hata usitake suruhu huko ni kujichosha sana ,
Unapaswa tu utafute mlango wa kutokea maisha ya endeleee huwa inaumiza unakuta umeshamtolea na mahari
Ukishapenda utaogopa watu kukushangaa mkuu?Sasa Wanawake wenzio si watakushangaa sana,maana wengi wao bila pesa no penzi!?
Huu unaonekana ni msimu wa kuachana hapa jamii forums, toka msela wa manzese ale za uso kuna wana kibao nao wamepitiwa na upepo huu wa kuachwa kibabe. Leo tuko na C programming katika kikombe hiki.
Utani huuu Yani simple kama hivyooo hakika umezaa na shetaniiiMimi alisema nimetoka mchana hiyo akiwa amelala eti sikumuaga ndiyo kikawa kisa akaondoka nakuniacha na watoto wadogo , nasema wanawake na walaaniwe
Hii ni zaidi ya kichwa cha chini na ngono huwa haihusiki na maumivu ya moyo kabisa.Na kakichwa ka chini kanachangia pia. Moyo na diki ni maadui wa maaumizi ya msingi kwenye mapenzi.
Daah pole sana kaka...!!Kuna wakati baada ya kuachana nae, nilijikaza, nikadhamiria kuacha kabisa kumtafuta ingawa namba zake za simu nilikuwa nimekariri, niliweza kwa takribani mwezi, Ila siku moja night nikiwa na drive Kuna nyimbo moja ika play, aiseeeh nilimkumbuka afu nikaumiaaa ,kiasi ambacho siwezi hata kuelezea,nikajikuta tu nimeshika phone, nikamtxt "Nimekumiss sana".
Jamani achaneni na kupenda nyie,hizo formula za kibabe mnazotoa humu zitaapply kama haukuwa unampenda kutoka moyoni.
Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.Daah pole sana kaka...!!
Kabisaa... Me bhana kuna katoto nilikapenda sanaa yani ingekuwa sijawahi kuumizwa kabla ya kuwa nae bhasi ningekiwa mwehuu kabisa.. Yani alianza visa from no where tuachane hata sababu hanaa akatumia simu nyingine kunitega eti aone kama mimi mwaminifu sasa mwanaume mwanaume tu nikajaa king eti kakaanza kumind aisee yani nilimtumia msg kama tatu tu kumchana ukweli alafu nkamwambia hii ni msg yangu ya mwisho. Yule manzi hakuamini ulipita mwaka mzima sikumtafuta akaja kunitxt nikamjibu simple tukachat nkampotezea tena nkaona kama ananisumbua tu nkawa sijibu msg zake.Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani"
Mimi tukiachana memory zote nafta staki kukumbuka lolote hata tukikutana sishtuki, memories zote nzuri au mbaya na zi delete wallahKinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani"
Yeah, nakubali.Tangu niumizwe na yule mwanamke, sidhani kama kuna yeyote atakaekuja kunibabaisha.Kabisaa... Me bhana kuna katoto nilikapenda sanaa yani ingekuwa sijawahi kuumizwa kabla ya kuwa nae bhasi ningekiwa mwehuu kabisa.. Yani alianza visa from no where tuachane hata sababu hanaa akatumia simu nyingine kunitega eti aone kama mimi mwaminifu sasa mwanaume mwanaume tu nikajaa king eti kakaanza kumind aisee yani nilimtumia msg kama tatu tu kumchana ukweli alafu nkamwambia hii ni msg yangu ya mwisho. Yule manzi hakuamini ulipita mwaka mzima sikumtafuta akaja kunitxt nikamjibu simple tukachat nkampotezea tena nkaona kama ananisumbua tu nkawa sijibu msg zake.
Huwa nasema A REALLY MAN GET HURT IN LOVE ONLY ONCE..
Wewe seriousily,Amini kwamba haujawahi kupenda dada angu.Mimi tukiachana memory zote nafta staki kukumbuka lolote hata tukikutana sishtuki, memories zote nzuri au mbaya na zi delete wallah
Nimeshapenda Ila kuweka kitu kilichoniumiza naki delete kabisa, tena Kuna niliopenda moyoni sijawahi penda Ila ilibidi niwaache tu the moment I blocked him sijawahi hata kumtafta na ctaki kumwona lohWewe seriousily,Amini kwamba haujawahi kupenda dada angu.
Mimi niliapa kabisa kwamba sitakuja kumtafuta,niliweza for almost mwezi na siku kadhaa, Ila Kuna night moja nikiwa na drive gari, Kuna mziki mmoja ndo uliharibua kabisa siku yangu. Yaani nilimkumbuka, nikashindwa kabisa kujizuia, nahivi namamba zilikuwa kichwani😃 nilmtxt akajibu.Ila baadae akili ilipokuja kukaa sawa, nilijiona mjinga fulani hivi, nikahisi huenda huko aliko alifikirii nateseka Sana(Niko desperate).Nimeshapenda Ila kuweka kitu kilichoniumiza naki delete kabisa, tena Kuna niliopenda moyoni sijawahi penda Ila ilibidi niwaache tu the moment I blocked him sijawahi hata kumtafta na ctaki kumwona loh
Hao jamaa walikuwa hawakupelekei moto wa maana.Nimeshapenda Ila kuweka kitu kilichoniumiza naki delete kabisa, tena Kuna niliopenda moyoni sijawahi penda Ila ilibidi niwaache tu the moment I blocked him sijawahi hata kumtafta na ctaki kumwona loh
Pole sana chiefKuna wakati baada ya kuachana nae, nilijikaza, nikadhamiria kuacha kabisa kumtafuta ingawa namba zake za simu nilikuwa nimekariri, niliweza kwa takribani mwezi, Ila siku moja night nikiwa na drive Kuna nyimbo moja ika play, aiseeeh nilimkumbuka afu nikaumiaaa ,kiasi ambacho siwezi hata kuelezea,nikajikuta tu nimeshika phone, nikamtxt "Nimekumiss sana".
Jamani achaneni na kupenda nyie,hizo formula za kibabe mnazotoa humu zitaapply kama haukuwa unampenda kutoka moyoni.
Ishu sio mtu kupelekewa moto Ila ni hisia tu ambazo zinamfanya mtu amiss uwepo wake,company,vituko na nyakati zote za furaha. Uzuri/Ubaya wa maisha ni kwamba kuna nyakati nzuri/mbaya pia furaha/huzuni lazima tuzipitie.Hao jamaa walikuwa hawakupelekei moto wa maana.
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia