Kamwe mwanamke hariziki

dedon

JF-Expert Member
Jul 6, 2015
1,507
2,063
Dah wasichana ukikaa chini ukaanza kuwatafakari utacheka sana. Unakuta mko chuo dada ana dream za mwanaume awe bright darasan, six park mda huo anataman wenye vitambi akiamn ndo wenye pesa

Kuna mdada mwingne huyu alikua mshkaji tu ukimuuliza dream man wake kila siku anabadilika leo anataka mtu mwenye mpunga, awe anashnda nae full ukabaki kujiuliza hv inawezekanaje ukashnda full daily na manz then ukagain kipato

Muulize msichana achague kati ya mwanaume tajiri ana mbovu kitandani au masikini yuko vizuri kwenye sita kwa sita uone atakavyowaza bila majibu.

Mwisho wa siku mimi naaminigi ladies hawajui nini wanakihitaji ndo maana wanaishiaga kusema wavulana wote tumezaliwa na mama mmoja.
 
Basi nilikuwa naambiwa "wanawake wanaUshetani ndani yao nabisha siku hizi nimeanza kuamini...Ipo siku na wewe utaamini.
 
N kwel asee viumbe hawa huwa hawajui nn wanakihitaji asee zat y wanalizwa daily.
 
Ili iweje...
ujue unatumia demu wa aina gani ili kesho ubadilishe halafu keshokutwa ufanye comparison to know who is the best kwa matumizi yako halafu mwisho wa siku uwe unatumia hizo best bitch type ambazo umeshazi sort out hapo juu
 
Ukiweza kuishi kidume dume hutakaa upate shida. Ukiendekeza U Beijin ujue siku zako si nyingi.
Unaishi na mke kama malaika lakini cku unamsikia skisifia fulani au kwa fulani! Hiyo ni dalili kuwa hajaridhika japo anajua abc zako. Dawa ishi kama mwanamme!
 
ujue unatumia demu wa aina gani ili kesho ubadilishe halafu keshokutwa ufanye comparison to know who is the best kwa matumizi yako halafu mwisho wa siku uwe unatumia hizo best bitch type ambazo umeshazi sort out hapo juu
Mke sawa tena na yeye unachunguza mambo ya kawaida tu. Ila kukamia kila mwanamke unayekuwa naye umchunguze na mwisho unapata tabia zile zile...aaa aa
 
Swala la kutoridhika ni kwa binadamu wote ndio maana kuna kucheat, kutoridhika na kipato chako( ndo maana hatukomi kutafuta) n.k
 
Back
Top Bottom