Habari wana Jukwaa...
Nimekuwa nikitafuta soft copy ya Kamusi ya Kiswahili - Kiswahili kwa ajili ya matumizi ya kazi zangu (Uandaaji/Utunzi wa makala za kijamii) mtandaoni bila mafanikio..
Naomba mwenye msaada wowote juu ya hili anisaidie, pengine ni link au soft copy yenyewe.. Asanteni