Wadau sisi wapiganagi wa NHIF tunachoshwa na baadhi ya wakurugenzi wanaoingilia michakato ya manunuzi kwa kuwa pigia kifua watu wao haswa katika manunuzi ya ICT michakato inakua mirefu kwa masilai yao uko huduma zikidhorota,tumechoshwa na sasa tunaweka wazi. KAMPUNI ya FM COMMUNICATION LIMITED imekuwa ikiwekwa msitari wa mbele kila siku wakati huduma zake ni dhaifu ndani ya miezi 4 isha zoa milioni 300 , Nyingine ni COMPUTER CONNECTION LIMITED,SOFTNET LIMITED ambao walipigiwa sana kifua na mkurugenzi mpya (jina tutawapatia next time, huyu jamaa ni mtaalamu wa kupindisha mambo na nikikwazo kukubwa cha maendeleo ya NHIF) wapewe project feki ya data center ambayo gharama yake ilikua zaidi ya milioni 800, ambayo iligonga ukuta.
Data tunazo vijana tumekamilika tuna fanya kazi tulizo agizwa.
Wadau nawasilisha kwenu.
Data tunazo vijana tumekamilika tuna fanya kazi tulizo agizwa.
Wadau nawasilisha kwenu.