tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
Ninavyofahamu teknolojia inaboreshwa ili kurahisisha, kufanisisha na kuharakisha mawasiliano kwa namna 1 au zaidi. Na ni hulka ya mwanadamu kupenda kitu kipya hususan pale anapoona kitamletea tiaj tija kwa namna 1 au zaidi. Tunashuhudia makampuni mengi hapa Tanzania hususan ya huduma za kipesa (mf. mabenki, TANESCO, DAWASCO n.k.) yaki-adopt teknolojia ya mawasiliano mathalan internet au kuuza huduma zake(transactions) kupitia internet na simu za viganjani kama vile M-Pesa, ATMs na NMB Mobile.
Lakini inapotokea speed ya ku-adopt hizi teknolojia haiendi sambamba na technical-know-how na technical-know-who (skilled personnel) inaleta walakini juu ya dhima nzima ya hiyo teknolojia.
Mimi binafsi ni muathirika sana wa hii kadhia katika kiwango cha juu kabisa. Nita-sight mifani michache ya dhahama niliyokumbana nayo so far
NMB Mobile:
Hii huduma imelenga kurahisisha huduma za kibenki kupitia mobile phone. Mimi ni Voda Com subscriber. Nimekuwa nikiifurahis sana. Ila imeshatokea mara kadhaa kutokea kwa zaidi ya masaa 48 kutopatikana kwa huduma hii kwa kile kinachoitwa 'network default'. Kwa mfano nipo Morogoro, tangu saa 10 jioni ya tarehe 15 June hadi naandika hii post saa 9 na nusu alasiri ya tarehe 18 bado NMB Mobile haifanyi kazi. Mbaya zaidi, wanatoa namba ui-contact (15566) kwa maelezo zaidi. I thought kwamba kwa vile ni huduma kwa wateja basi ni free of charge-I was quite wrong!!!! Tena wana-charge hata kabla simu haijaunganishwa na customer care personnel!!!
LUKU-TANESCO!
kuanzia jumatano hadi jumamosi hakukuwa na 'network' kwa ajili ya kununulia umeme wa LUKU kwa mkoa wa Tanga. Ilituletea adha isiyo na kifani. Mafundi ilibidi watoke Dar!!! Wateja wapya ambao tulikuwa bado hatujingizwa kwenye 'system' ilibidi tukae gizani kwa muda wote huo na vitu vingi vilivyohitaji refrigeration viliharibika.
ATM:
Ni jambo la kawaida kukuta ATM za benki fulani kwa wakati fulani kutofanya kazi kwa hata zaidi ya masaa 24. Hii inaweza kuwa ATM machines za locality fulani fulani mathalani mjini pote. Kisa...'network'
Naomba wahusika wa hizi taasisi wawe serious na hii technical default. wawe na sufficient and competent technical personnel na hata infrastructure ya nizo 'network zao'
Wakuu,nawasilisha!
Lakini inapotokea speed ya ku-adopt hizi teknolojia haiendi sambamba na technical-know-how na technical-know-who (skilled personnel) inaleta walakini juu ya dhima nzima ya hiyo teknolojia.
Mimi binafsi ni muathirika sana wa hii kadhia katika kiwango cha juu kabisa. Nita-sight mifani michache ya dhahama niliyokumbana nayo so far
NMB Mobile:
Hii huduma imelenga kurahisisha huduma za kibenki kupitia mobile phone. Mimi ni Voda Com subscriber. Nimekuwa nikiifurahis sana. Ila imeshatokea mara kadhaa kutokea kwa zaidi ya masaa 48 kutopatikana kwa huduma hii kwa kile kinachoitwa 'network default'. Kwa mfano nipo Morogoro, tangu saa 10 jioni ya tarehe 15 June hadi naandika hii post saa 9 na nusu alasiri ya tarehe 18 bado NMB Mobile haifanyi kazi. Mbaya zaidi, wanatoa namba ui-contact (15566) kwa maelezo zaidi. I thought kwamba kwa vile ni huduma kwa wateja basi ni free of charge-I was quite wrong!!!! Tena wana-charge hata kabla simu haijaunganishwa na customer care personnel!!!
LUKU-TANESCO!
kuanzia jumatano hadi jumamosi hakukuwa na 'network' kwa ajili ya kununulia umeme wa LUKU kwa mkoa wa Tanga. Ilituletea adha isiyo na kifani. Mafundi ilibidi watoke Dar!!! Wateja wapya ambao tulikuwa bado hatujingizwa kwenye 'system' ilibidi tukae gizani kwa muda wote huo na vitu vingi vilivyohitaji refrigeration viliharibika.
ATM:
Ni jambo la kawaida kukuta ATM za benki fulani kwa wakati fulani kutofanya kazi kwa hata zaidi ya masaa 24. Hii inaweza kuwa ATM machines za locality fulani fulani mathalani mjini pote. Kisa...'network'
Naomba wahusika wa hizi taasisi wawe serious na hii technical default. wawe na sufficient and competent technical personnel na hata infrastructure ya nizo 'network zao'
Wakuu,nawasilisha!