coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 385
- 748
Kwanza binaadamu kaanza tabia kuvuta tumbaku kabla ya yesu kuja,Tanzania watu wameanza kuvuta tumbaku zaidi ya miaka 200 iliyopita.
Tumbaku inapendwa na kuna watu tunaifurahia. Inakuaje nyie TCC mnakubali sigara zipande bei kiholela mtaani wakati nyie mna hela zetu nyingi na nguzo ya uchumi? Inakuaje wafanyabiashara wanatuzia Embassy-400Tsh,Portsman-300Tsh toka tarehe 8 December. Pelekeni watu na mfanye matangazo kuwaelemisha watu kuhusu bei.
Msituchulie poa wateja wenu, msijae uoga na propaganda kwa kitu ambacho watu wanakifurahia. Sisi wateja wenu mtutetee na msikubali sisi tuumizwe na wafanyabiashara.
Kama mteja mkubwa wa Embassy nawakilisha malalamiko yangu na nipo tayari kupiga kampeni kutetea maslahi yetu wavuta sigara na kunyonywa na wenye maduka..
“We mangi?Acha tamaa!Embassy ni miatatu sio mia nne”.
Tumbaku inapendwa na kuna watu tunaifurahia. Inakuaje nyie TCC mnakubali sigara zipande bei kiholela mtaani wakati nyie mna hela zetu nyingi na nguzo ya uchumi? Inakuaje wafanyabiashara wanatuzia Embassy-400Tsh,Portsman-300Tsh toka tarehe 8 December. Pelekeni watu na mfanye matangazo kuwaelemisha watu kuhusu bei.
Msituchulie poa wateja wenu, msijae uoga na propaganda kwa kitu ambacho watu wanakifurahia. Sisi wateja wenu mtutetee na msikubali sisi tuumizwe na wafanyabiashara.
Kama mteja mkubwa wa Embassy nawakilisha malalamiko yangu na nipo tayari kupiga kampeni kutetea maslahi yetu wavuta sigara na kunyonywa na wenye maduka..
“We mangi?Acha tamaa!Embassy ni miatatu sio mia nne”.