NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 275
Ndugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha hata ukachezaa ujue huwezi kuitoa hata iwe elfu moja haitoki inabaki kwao.
3. Poor customer care, ukipiga tu simu wanakudanganya, halafu wanakuwa wakali ukionesha kutoelewa jibu flani.
4 . Wanamasoko mazuri ili wakukamate.
Mnao beti au kubashiri acheni mara moja kutumia kampuni hii mnatapeliwa
Serikali iingiilie kati hawa ni DECI MPYA.
1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja.
2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha hata ukachezaa ujue huwezi kuitoa hata iwe elfu moja haitoki inabaki kwao.
3. Poor customer care, ukipiga tu simu wanakudanganya, halafu wanakuwa wakali ukionesha kutoelewa jibu flani.
4 . Wanamasoko mazuri ili wakukamate.
Mnao beti au kubashiri acheni mara moja kutumia kampuni hii mnatapeliwa
Serikali iingiilie kati hawa ni DECI MPYA.