Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,063
- 2,298
Jambo wandugu, nina kampuni ya ujenza Class VII. Imesajiliwa na ina leseni zote lakini kwa bahati mbaya haipati kazi kwa sababu mbalimbali. Natafuta mtu ambaye ana uwezo wa kupata kazi lakini hana kampuni wala mtaji akajiunga nasi ili tutafute kazi kwa pamoja. Awe na uwezo wa kusimamia kazi zitakazopatikana. Kampuni ninayo na mtaji upo lakini kazi sina. Tutazungumza namna gani ya kugawana mapato yatayopatikana. Kama una interest tafadhali ni-pm.