Kampuni ya ujenzi inahitaji "partner"

Congo

JF-Expert Member
Mar 13, 2008
2,063
2,298
Jambo wandugu, nina kampuni ya ujenza Class VII. Imesajiliwa na ina leseni zote lakini kwa bahati mbaya haipati kazi kwa sababu mbalimbali. Natafuta mtu ambaye ana uwezo wa kupata kazi lakini hana kampuni wala mtaji akajiunga nasi ili tutafute kazi kwa pamoja. Awe na uwezo wa kusimamia kazi zitakazopatikana. Kampuni ninayo na mtaji upo lakini kazi sina. Tutazungumza namna gani ya kugawana mapato yatayopatikana. Kama una interest tafadhali ni-pm.
 
Jambo wandugu, nina kampuni ya ujenza Class VII. Imesajiliwa na ina leseni zote lakini kwa bahati mbaya haipati kazi kwa sababu mbalimbali. Natafuta mtu ambaye ana uwezo wa kupata kazi lakini hana kampuni wala mtaji akajiunga nasi ili tutafute kazi kwa pamoja. Awe na uwezo wa kusimamia kazi zitakazopatikana. Kampuni ninayo na mtaji upo lakini kazi sina. Tutazungumza namna gani ya kugawana mapato yatayopatikana. Kama una interest tafadhali ni-pm.

Nyie ndio mnaoangusha majumba kwa kujenga bila viwango? Teh teh teh ... .... Unataka utajiri kwenye fani ambayo hata huielewi. Tangaza kazi na uwalipe professionals kiwango kinachotakiwa na wao kwa kutumia usomi wao na qualifications zao watapata kazi. Kama kweli mpunga unao kama unavyosema tangaza kumtafuta managing director aliyebobea na weka sifa zake wako wengi tu siku hizi hapa bongo. Angalia wasikuletee vyeti vya kugushi. Good luck.
 
Mkuu.WEKA MAELEZO YA KUTOSHA ILI WATU WAJUE NA WAKUPE USHAURI, KWA NINI UKOSE KAZI ZA KUFANYA?!, AU KUNA TATIZO KATIKA USIMAMIZI WA KAMPUNI YAKO?.SASA UTAWEZA VIPI KUPATA MSHIRIKA PASIPO KUWA MUWAZI JUU YA MATATIZO YANOISIBU KAMPUNI YAKO?.
 
Mkuu.WEKA MAELEZO YA KUTOSHA ILI WATU WAJUE NA WAKUPE USHAURI, KWA NINI UKOSE KAZI ZA KUFANYA?!, AU KUNA TATIZO KATIKA USIMAMIZI WA KAMPUNI YAKO?.SASA UTAWEZA VIPI KUPATA MSHIRIKA PASIPO KUWA MUWAZI JUU YA MATATIZO YANOISIBU KAMPUNI YAKO?.

Kwa maelezo zaidi ni-pm. Hakuna tatizo.
 
Nyie ndio mnaoangusha majumba kwa kujenga bila viwango? Teh teh teh ... .... Unataka utajiri kwenye fani ambayo hata huielewi. Tangaza kazi na uwalipe professionals kiwango kinachotakiwa na wao kwa kutumia usomi wao na qualifications zao watapata kazi. Kama kweli mpunga unao kama unavyosema tangaza kumtafuta managing director aliyebobea na weka sifa zake wako wengi tu siku hizi hapa bongo. Angalia wasikuletee vyeti vya kugushi. Good luck.

Fani ya utajiri ni ipi? Nadhani unatakiwa kurudia kusoma nilichoandika. Isingesajiliwa bila kufuata taratibu zote.
 
Fani ya utajiri ni ipi? Nadhani unatakiwa kurudia kusoma nilichoandika. Isingesajiliwa bila kufuata taratibu zote.

Fani yoyote inaweza kukupa utajiri. Kusajiliwa kampuni sio kazi kubwa sana lakini ku-prove competence kwenye hiyo fani/kampuni (what you do with it, type of work etc.) ndio tatizo, na hilo unaliona baada ya kushindwa kupata kazi. Ukisoma my post nimesema tafuta Managing Director/advertise the position kwa sababu wewe mpunga upo utawapata tu hapa bongo wapo wengi sana.
 
MIAFRIKA ndivyo ilivyo! Amesema kwa maelezo zaidi mum-pm, nyie maneno meeeeeeeengi! Heh!
 
Mkuu fafanua iko mkoa gani na inahusika na ujenzi wa nini?visima maghorofa madaraja au magari?
Civil na Building. Iko Dar es Salaam, lakini leseni za ujenzi ni pan territorial.
 
Ushauri uliopewa wa kutafuta meneja mzuri ungeuzingatia kwani unachohitaji siyo partner unahitaji raslimali watu ambayo inaweza kukutafutia kazi na kuzisimamia kazi zako partners watakusumbua ajiri mtu.
 
waungwana nina mitiki 150 ina umri wa miaka 20. Nipeni bei tangaza dau. Miti ipo maeneo ya tanga handenoi
 
waungwana nina mitiki 150 ina umri wa miaka 20. Nipeni bei tangaza dau. Miti ipo maeneo ya tanga handenoi
Mitiki huwa nasikia ni dili sana.....lakini ulichokosea mkuu makola ni kuchomekea mada kwenye thread ya Jamaa wa kampuni ya ujenzi.

Ushauri wa bure kama bado hujafanya, ni vizuri ukaanzisha thread yako kwenye section ya habari na hoja mchanganyiko
 
Back
Top Bottom