JakaRoho
Member
- Jun 7, 2013
- 40
- 6
Nipo kwenye basi la Princess Muro Mbeya kuna mzozo umezuka baadhi ya abilia wanadai kuwa walilopa nauli ya Mbeya kwa basi la Luxury ya 44000 lakini wamepandishwa kwenye Basi la kawaida la nauli ya 38000..Zogo.kubwa limezuka na Kondakta ikamlazimu awasiliane na Makao makuu baada ya abilia kutishia kushtaki Sumatra Morogoro.Ila kwa sasa abilia wamerudishiwa kiasi kilichozidi na Safari inaendelea vizuri..
Kwa mujibu wa Maelezo mabasi ya Luxury ni 2x2 na haya ya kawaida ni 2x3 hivyo yatupasa kuwa makini na aina ya Basi ulilolipia.
Kwa mujibu wa Maelezo mabasi ya Luxury ni 2x2 na haya ya kawaida ni 2x3 hivyo yatupasa kuwa makini na aina ya Basi ulilolipia.