Kampuni ya kukodisha magari

Kampuni ya kukodisha magari

jnia

Senior Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
112
Reaction score
37
Habari wapendwa, kwa niaba ya kampuni ya RABEVENTS ninayo furaha ya kuwatangazia fursa ndugu zangu wenye magari yao binafsi na wangependa kupata wateja wa kuyakodi magari hayo.

Hii itakusaidia kuongeza kipato chako pasipo kutegemea biashara au kazi yako.

karibuni sana.

rabbion@yahoo.com
0714 215942
Rabevents
 
Magari ya aina gani, mnalipa baada ya muda gani , contract ya muda gani? , dereva wa nani, etc.....
 
advance mwanzo wa kazi na unamaliziwa iliyobaki mwisho wa kazi,
dereva wa kwako,
bei maelewano.
gari zozote tunapokea ambazo zitafaa kwa shughuli za sherehe.
 
advance mwanzo wa kazi na unamaliziwa iliyobaki mwisho wa kazi,
dereva wa kwako,
bei maelewano.
gari zozote tunapokea ambazo zitafaa kwa shughuli za sherehe.
Mnahitaji magari ya aina gani? Na bei zikoje per day?

Vipi ubora wa gari? I mean uchakavu au mnazikaguwa kwanza? Ac muhimu?
 
magari yaliyo kwene hali nzuri kimwonekano na yatakayofaa kwa shughuli za sherehe. bei tutaongea.
 
Kwanza hakuna sheria inayoruhusu gari binafsi kufanya biashara.
Hapo inabidi mwenye hilo gari binafsi aende TRA akabadilishe matumizi ya gari iwe ni Commercial na alipe kodi kama mfanya biashara.

Na akifanya kinyume na hapo,likitokea tatizo basi jela inamuita.
Akistukiwa na TRA au Majembe basi ataambulia fine tu,ila ikitokea ajali basi lazima ichunguze kama ni gari ya biashara au binafsi.

Najua kwa DAR wengi sana wanafanya kienyeji,ila ifahamike tu likitokea ujue imekula kwako.Tunapoelekea siko.Watu wanakusanya kodi hata ukijamba
 
Kwanza hakuna sheria inayoruhusu gari binafsi kufanya biashara.
Hapo inabidi mwenye hilo gari binafsi aende TRA akabadilishe matumizi ya gari iwe ni Commercial na alipe kodi kama mfanya biashara.

Na akifanya kinyume na hapo,likitokea tatizo basi jela inamuita.
Akistukiwa na TRA au Majembe basi ataambulia fine tu,ila ikitokea ajali basi lazima ichunguze kama ni gari ya biashara au binafsi.

Najua kwa DAR wengi sana wanafanya kienyeji,ila ifahamike tu likitokea ujue imekula kwako.Tunapoelekea siko.Watu wanakusanya kodi hata ukijamba
Mhh watu wanafnya kama kawaida .hiyo mikwala tu kama huna gari kaa pembeni , wote sheria tunajua
 
Mhh watu wanafnya kama kawaida .hiyo mikwala tu kama huna gari kaa pembeni , wote sheria tunajua
Najua utakuwa waleeee wa DAR
Unajua Sheria?hongera sana kama ndio mmefundishwa na umefundishwa hivyo.Acha kutia aibu wa DAr

Hayo maisha yenu ya kubahatisha hayo ndio ikitokea changes ya kukaza sheria mnaona maisha Magum

Kwa taarifa yako tu,namiliki magari sio gari(Dar ya Biashara,Zanzibar kwenye Utalii).Nakuambia ninachokijua kuhusu biashara ya magari.
Zanzibar heshima ni mwenye Vespa na Sio Gari.Huku kwetu rahisi tu kununua gari

Lakini ukweli ndio huo,kwamba mfumo wa biashara hiyo sio halali mpaka Gari zibadilishwe matumizi kuwa ya biashara.
Acheni kubahatisha maisha mjini,wakati sio
 
Najua utakuwa waleeee wa DAR
Unajua Sheria?hongera sana kama ndio mmefundishwa na umefundishwa hivyo.Acha kutia aibu wa DAr

Hayo maisha yenu ya kubahatisha hayo ndio ikitokea changes ya kukaza sheria mnaona maisha Magum

Kwa taarifa yako tu,namiliki magari sio gari(Dar ya Biashara,Zanzibar kwenye Utalii).Nakuambia ninachokijua kuhusu biashara ya magari.
Zanzibar heshima ni mwenye Vespa na Sio Gari.Huku kwetu rahisi tu kununua gari

Lakini ukweli ndio huo,kwamba mfumo wa biashara hiyo sio halali mpaka Gari zibadilishwe matumizi kuwa ya biashara.
Acheni kubahatisha maisha mjini,wakati sio
Hivi kuna kitu kinaitwa Uber je unakijua? Na znz kimefika? Nadhan utakua umenipata. ukiweza kunielewesha hawa wanafanyaje kazi na wenye magari basi utakua umenisaidia sana maana sijaona sehem inayosema mtu aende TRA
 
Mhh watu wanafnya kama kawaida .hiyo mikwala tu kama huna gari kaa pembeni , wote sheria tunajua
Mbona hii kampuni ya FAB CARS wanafanya wengine hatupend kupanda Gari namba nyeupe mpaka mujue nimekodi alaaa
02648ebcdfe773d9d671982fd51c3839.jpg
 
Back
Top Bottom