Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Kuna ubaya wowote Msoga family kufanya biashara?Predeshee Mohamed Kiluwa ameacha kutajwa tajwa kwenye band za dansi ameamua kuwa serious kwenye uwekezaji
Ila familia ya kutoka msoga wamejificha ndani ya Kiluwa.
Kuna ubaya wowote Msoga family kufanya biashara?
Endelea hivyo hivyo na mawazo ya kimaskini. Eti zilichotwa wakiwa magogoni. Fanya kazi we zombi achana na Chorus statements. Umaskini mbaya sana.Yes ni mbaya sana sbb the source ya hela hiyo ya biashara itakuwa iliibwa wakati msoga family wakiwa Magogoni
.meaning fedha za umma zilichotwa, hapo ndipo ubaya unakuja tena Ikulu ni kosa kubwa kufanya biashara, so msoga family ilivyokuwa Magogoni walipiga madili sana and blindly bila haya au aibu unasema kuna UBAYA? As if huoni vile.. Ujue wezi ndio husapoti wezi... You look like one
Asante mkuu kwa kumjibu maana nilimpotezea na kujibishana nae kama kupoteza muda tu. Hongera sana mkuuYes ni mbaya sana sbb the source ya hela hiyo ya biashara itakuwa iliibwa wakati msoga family wakiwa Magogoni
.meaning fedha za umma zilichotwa, hapo ndipo ubaya unakuja tena Ikulu ni kosa kubwa kufanya biashara, so msoga family ilivyokuwa Magogoni walipiga madili sana and blindly bila haya au aibu unasema kuna UBAYA? As if huoni vile.. Ujue wezi ndio husapoti wezi... You look like one
Do you have proof? Je, ukiitwa mahakamani kuthitisha hili unaweza?Yes ni mbaya sana sbb the source ya hela hiyo ya biashara itakuwa iliibwa wakati msoga family wakiwa Magogoni
.meaning fedha za umma zilichotwa, hapo ndipo ubaya unakuja tena Ikulu ni kosa kubwa kufanya biashara, so msoga family ilivyokuwa Magogoni walipiga madili sana and blindly bila haya au aibu unasema kuna UBAYA? As if huoni vile.. Ujue wezi ndio husapoti wezi... You look like one
Nadhani hizo ni fikra zenu mgando. Mwenzako akifanikiwa unaanza kuleta sababu. Wenzako wanapiga kazi wewe unakalia majungu.Asante mkuu kwa kumjibu maana nilimpotezea na kujibishana nae kama kupoteza muda tu. Hongera sana mkuu