Kampuni ya Huawei yaishtaki Samsung

Kampuni ya Huawei yaishtaki Samsung

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa.

Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inaishtaki Samsung kupitia mahakama mbili moja ikiwa California na nyingine ikiwa Shenzhen.

Kulingana na Huawei, simu zake kadhaa pamoja na programu zake ilizobuni zimetumiwa katika simu za Samsung bila ruhusa yake.

Samsung imeiambia BBC itatetea maslahi ya biashara zake.

Hata hivyo programu zinazodaiwa kuibwa na Samsung hazijatangazwa.
 
Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa

Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inaishtaki Samsung kupitia mahakama mbili moja ikiwa California na nyengine ikiwa Shenzhen.

Kulingana na Huawei,simu zake kadhaa pamoja na programu zake ilizobuni zimetumiwa katika simu za Samsung bila ruhusa yake.
 
AY NA MWENZIE VS TIGO
HUUAWE VS SAMSUNG



WAWALIPE TU MAANA AKUNA NAMNA
 
Samsung yeye siku zote ni kucopy tu wenzake kacopy apple wee kachoka sasa kavigeukia na vikampuni vidogo dogo hivi!
 
Simu Za org Ni makampuni mengi sana, kwanini asikopy kwenye Haya majina madogo ili hata Kesi isiwe kubwa.
 

Attachments

  • image.png
    image.png
    368.3 KB · Views: 27
Back
Top Bottom