Kunanyingine imekuja, nimesikia wenzangu ofisi wakiiongelea ina husu sana user wa android. Wanasema unaadi watu wawili alafu na wao wana add wawili kila mmoja kisha na kuendelea alafu wewe unakula faida kwa kila addition. Sikutaka kuendelea kusikiliza kwa kuwa nilijua ni utumbo.