Habari wanajukwaa,
Naombwa kujuzwa kampuni nzuri kwa ajili ya kufanya field za IT ambayo itamfanya anayefunzwa walau kupata ujuzi.
Ukiandika jina la kampuni na mahala ilipo nitashukuru.
Asante
Habari wanajukwaa,
Naombwa kujuzwa kampuni nzuri kwa ajili ya kufanya field za IT ambayo itamfanya anayefunzwa walau kupata ujuzi.
Ukiandika jina la kampuni na mahala ilipo nitashukuru.
Asante
Sisomi IT nasoma computer eng. field nmekuwa nikifanya networking site na kampuni za wahind..sasa nataka nijaribu pengine kweny programming au hata networking nipate challenge
Sisomi IT nasoma computer eng. field nmekuwa nikifanya networking site na kampuni za wahind..sasa nataka nijaribu pengine kweny programming au hata networking nipate challenge
Sisomi IT nasoma computer eng. field nmekuwa nikifanya networking site na kampuni za wahind..sasa nataka nijaribu pengine kweny programming au hata networking nipate challenge