Kampuni nyingi wanawaunderate salespersons

Madini
 
Sawa mkuu tuchukulie unauza insurance kwa mwezi unaweza kuuza bima 10 unafanyaje hapa tuchukulie ni bima za medical
 
Sawa mkuu tuchukulie unauza insurance kwa mwezi unaweza kuuza bima 10 unafanyaje hapa tuchukulie ni bima za medical
Mkuu ikiwa upo uko unatengeneza network na kukuza CV .baadae unaangalia green pastures so ichukulie hiyo job Kama humble beginning and stepping stone.

Be there for a while. Uku ukiangalia wapi unabidi ukaitumie potential yako.

Sio kila kitu kitakupa hela katika maisha unachofanya mambo mengine unafanya ili upate experience na kukuza network.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…