Mas The Great
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 150
- 64
wanajamii nimejulishwa juu ya kampuni moja mpya ya simu iitwayo "BOL". sasa mimi naomba kujua ofisi zao ziko wapi hapa DAR na hata ubora wa huduma zao. ni vema kujaribu kila ladha ili kuamua ladha inayofaa.