Kampuni kubwa ya uhasibu ernst & young, yafuta degree kuwa kigezo cha ajira.. wamegundua chuo kikuu hakina umuhimu zama hizi

Ana degree ya uhasibu,ni miongoni mwa watanzania wa mwanzo kabisa kua na CPA.

acha uongo.. leta evidence. narudia tena mengi hana degree.. kama anayo weka evidence alichukulia chuo gani.. yaelekea unachanganya acca au cpa na degree za university

acca au cpa unaipata kwa kufanya mitihani ya bodi... huitaji kwenda university yeyote... unachpata hicho ndicho kinaitwa skills nasema watu wakomae nazo
 
acha uongo.. leta evidence. narudia tena mengi hana degree.. kama anayo weka evidence alichukulia chuo gani.. yaelekea unachanganya acca au cpa na degree za university

acca au cpa unaipata kwa kufanya mitihani ya bodi... huitaji kwenda university yeyote... unachpata hicho ndicho kinaitwa skills nasema watu wakomae nazo
Tusibishanie elimu za watu,Komaa na skills basi zikutoe mkuu nawe uwe km akina zuckenberg wa fb
 
hujajibu swali... umesema mengi ana degree.. nimekuuliza ana degree ya chuo gani?
Ok toa skills zako basi ulizo acummulate ziwe na impacts ktk maisha yako binafsi,achana na jamii kwanza huko ni mbali sana.unaeza kuta unapiga kelele skills kwenye keyboard tu,kumbe huna lolote
 
habari wadau.. kampuni kubwa ya uhasibu ernst and young waliogundua madudu ya EPA BOT enzi z.. mojawapo ya big 4 auditing firm,, imetangaza rasmi kufuta degree kuwa kigezo cha ajira dunia nzima kwenye branch zao

hata hapa Tanzania ili upate kazi ernst and young ilikuwa lazima uwe na first class au upper second nzito.. kwa waliosoma udsm b com au mzumbe baf wanajua mziki ulivyokuwa mnene ajira za hii kampuni kubwa

wataalamu wao wa majuu huko wamegundua degree hazina umuhimu zama hizi za technolojia.. bali ni skills za uhalisia wa mtaa


ey imeamua kuajiri watakaofaulu mtihani wao tu online...

wanavyosema wenyewe kwenye website yao

‘No evidence’ that success at university is linked to achievement in professional assessments, accountancy firm says

the company will use numerical tests and online “strength” assessments to assess the potential of applicants.

Maggie Stilwell, EY’s global managing partner for talent, said the changes would “open up opportunities for talented individuals regardless of their background and provide greater access to the profession”.
“Transforming our recruitment policy is intended to create a more even and fair playing field for all candidates, giving every applicant the opportunity to prove their abilities,” Ms Stilwell added.

elimu ni muhimu sana.. ila tusome kwa ajili ya kupata skills, maarifa ndio muhim.. sio vyeti.. hata waajiri hawataki vyeti.. wanataka skills halisi

hili ni onyo kwa tunaokopa hela na kusoma masters na ma degree kibao,, kujaza mavyeti mengi tukitegemea kuajiriwa

pia wazazi tuwape watoto skills mapema.. wasikomae na shule tu
Inaonekana umeitafsiri vibaya hiyo habari. Sio kwamba shahada ya kwanza haina umuhimu tena, bali ni ule ufaulu wa kiwango cha juu katika shahada ya kwanza. Mwanzoni waomba ajira ambao hawakufikia kiwango flani kwenye ufaulu wa shahada zao walikuwa hawapati nafasi ya kuendelea na hatua nyingine ya mchakato wa ajira.
Ila kwa hiyo taarifa hapo juu inaonekana kila muomba ajira atapata nafasi ya kufanya hiyo mitihani yao (aptitude tests). Nawashauri wanafunzi wazidi kusoma kwa bidii kwa uelewa zaidi na sio kukariri. Maana hata hiyo mitihani watakayotumia jamaa sio ya kimchezomchezo
 
Ok toa skills zako basi ulizo acummulate ziwe na impacts ktk maisha yako binafsi,achana na jamii kwanza huko ni mbali sana.unaeza kuta unapiga kelele skills kwenye keyboard tu,kumbe huna lolote

hujajibu swali.. tetea hoja yako. Mengi ana degree ya chuo gani
 
hujajibu swali.. tetea hoja yako. Mengi ana degree ya chuo gani
Umesema Dunia iachane na degrees,haya tuache degree,tunaomba wewe mwenye skills uziweke hapa Dunia inufaike na skills zako,tuondoke hapa tulipo tusonge mbele.share nasi skills Taifa lipige hatua utakua umemsaidia sana Rais na watanzania.usiwe mchoyo share nasi skills hadimu ulizonazo.
 
Umesema Dunia iachane na degrees,haya tuache degree,tunaomba wewe mwenye skills uziweke hapa Dunia inufaike na skills zako,tuondoke hapa tulipo tusonge mbele.share nasi skills Taifa lipige hatua utakua umemsaidia sana Rais na watanzania.usiwe mchoyo share nasi skills hadimu ulizonazo.

unazunguka sana kukwepa swali. tetea hoja yako. umesema Mengi ana degree, sema aliipata chuo gani??
 
Daaah,wewe utakua una skills za kwenye keyboard za jf tu.

mimi nataka ujibu hoja yako.. umesema Mengi ana degree .. na kejeli nyingi... tetea hoja yao.. Mengi ana degree ya chuo gani?? ka umesema uongo.. sema mimi nimeongopa mengi hajawai kanyaga chuo kikuu chochote kusaka degree
 
mimi nataka ujibu hoja yako.. umesema Mengi ana degree .. na kejeli nyingi... tetea hoja yao.. Mengi ana degree ya chuo gani?? ka umesema uongo.. sema mimi nimeongopa mengi hajawai kanyaga chuo kikuu chochote kusaka degree
Leta hoja za skills na wewe uwe nazo hizo skills kichwani,unaleta hoja za skills kumbe hujui kitu,wabongo mkiwa kwenye keyboard huwa ni wabobezi wenye skills Adimu sana.
 
Basi Hawa wako Vizuri sana,hata Mimi naoenda Sana maswali hayo,mambo ya Kazi Tutafundishana tukiwa Kazini!
Aisee hapo wanakuuliza maswali ya Big Ben ambayo ipo London sasa mzee kama haupo current lazima udondokee pua
 
Back
Top Bottom