Bwana aitwae ridhwan j kikwete ambaye pia ni mjumbe wa UVCCM ameshaanza kampeni za chini kwa chini jimbo la chalinze.je kamati ya maadili itakuwa na ubavu wa kumfungia?
Anampigia mtu mwingine au anajipigia yeye?naomba ufafanuzi mkuu
hakuna aliekatazwa kugombea tuache majungu.yaleyale ya uongozi wa kifamilia, time will tell.