Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi Tanzania

Alphonce Kagezi

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
327
157
Amani ni tunu yetu Watanzania kuipoteza ikatuponyoka tutalia kilio kikuu cha kusaga meno tangu mimba hadi wazee.

Kila mmoja aiombee Tanzania ipite salama kwenye kikaango uchaguzi mkuu. Amani itamalaki.

Haki idumishwe bila kumpokonya mwenye nayo.
Vyeo ni dhamana za mda tu .
Heshima hutoka kwa Mungu .

Wagombea Udiwani,Ubunge,Uraisi na NEC ,Polisi nk Amani na ustawi wa Tanzania viko mkononi mwenu katika kipindi chote cha matukio yote husika kuelekea siku ya upigaji kura.

Hila na mbinu chafu zizotambuliwa na Katiba na Sheria mama Tanzania ebu kubalini kuziweka kando ili tubaki salama
 
Amani ni tunu yetu Watanzania kuipoteza ikatuponyoka tutalia kilio kikuu cha kusaga meno tangu mimba hadi wazee.

Kila mmoja aiombee Tanzania ipite salama kwenye kikaango uchaguzi mkuu. Amani itamalaki.

Haki idumishwe bila kumpokonya mwenye nayo.
Vyeo ni dhamana za mda tu .
Heshima hutoka kwa Mungu .

Wagombea Udiwani,Ubunge,Uraisi na NEC ,Polisi nk Amani na ustawi wa Tanzania viko mkononi mwenu katika kipindi chote cha matukio yote husika kuelekea siku ya upigaji kura.

Hila na mbinu chafu zizotambuliwa na Katiba na Sheria mama Tanzania ebu kubalini kuziweka kando ili tubaki salama
Ccm wanaharibu nchi yetu hasa hii serikali ya jiwe imekuwa hovyo kabisa kwa amani yetu.
 
CCM wanakwepa Neno HAKI....

Naona kila mwana CCM analikwepa suala la FAO LA kujitoa kama vile ni Jambo dogo. Bwana Humprey Polepole ameongea na waandishi wa habari Mara 2..hii hoja ameiruka.

Mtu amefukuzwa kazi au mkataba umeisha, NSSF (Fao la kukosa Ajira) wanasema ulipwe 33.3 % ya Mshahara kwa miezi 6...baada ya hapo kaa miezi 18 ...ndio ulipwe.

Sheria mpya ya 2018, Raisi Magufuli alisaini, lakini baadae akaja kufuta kikokotoo cha wastaafu pekee...Sasa wafanyakazi wanaofukuzwa kazi sekta binafsi kabla ya umri wa kustaafu wanataabika. Wenye kuona hili wamshauri Magufuli haraka sana na arekebishe maana Katiba imempa mamlaka.

Raisi Magufuli, rudisha FAO LA kujitoaa. watu walipwe pesa zao kwa mkupuo bila masharti ... Hiki ni kipindi cha Kampeni...Kura za Wafanyakazi sekta binafsi ni mamilioni...

Ndugu Bashiru na Pole pole...FAO LA Kujitoa..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom