LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,197
- 14,902
View attachment 97712Wakati tunamsubiria Kamanda wa anga, muda huu Kamanda Lema anawashukuru wana wa Arusha kwa kujitoa na kywadhihirishia Ccm kwamba A town hakuna Ccm
Mita chache kutoka ulipo mkutano huu wapo ccm na mkutano kama kikao cha ukoo.
Mita chache kutoka ulipo mkutano huu wapo ccm na mkutano kama kikao cha ukoo.