MATANGO MAKUBWA
Member
- Oct 7, 2012
- 39
- 5
Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....