Kampeni za chadema chalinze

Kampeni za chadema chalinze

Joined
Oct 7, 2012
Posts
39
Reaction score
5
Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....
 
Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....

Tunasubiri chopa na kucc kwa Yericko Nyerere na Mohamedi Mtoi watakujuza!
 
Last edited by a moderator:
Mgombea wa Chadema analalamika wamemkimbia amebaki kama mtoto yatima.

Nimemuona mh.Lema yupo bize na mambo ya KATIBA, nahisi huu mchakato wa KATIBA utawaharibia sana CDM hasa baada ya hotuba ya JK kuivuruga rasimu ya KATIBA iliyoletwa na Tume ya Jaji Warioba.
 
Mgombea wa Chadema analalamika wamemkimbia amebaki kama mtoto yatima.

Mkuu Ritz
Chopa zinapelekwa kwa wagombea vimada tu?? Mkuu fanya ubinadamu chukua nafsi ya kampeni manager Chadema hapo Chalinze angalia tupate upinzani; babu hajatia mguu chalinzee??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Chopa zinapelekwa kwa wagombea vimada tu?? Mkuu fanya ubinadamu chukua nafsi ya kampeni manager Chadema hapo Chalinze angalia tupate upinzani; babu hajatia mguu chalinzee??
Najua yule mgombea ana bucha zake pale Chalinze ataziuza zote kupata pesa za kampeni, atakosa bucha na ubunge.
 
Last edited by a moderator:
Nyie mabundi ya ccm mnajaza saver ya jf tu.
 
Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....
Taarifa sahihi zipo.. CHADEMA tunafanya kazi vizuri... Jumamosi hii tumefanya kazi kubwa sana mkange, mdaula, Lunga, Diozile, na Masimbane. Tutajitahidi kuwajuza habari Zaidi
Mwenyekiti CHADEMA (w) Bagamoyo.
 
Iwapo nyie ni wapenda demokrasia si ushabiki njooni sehemu zifuatazo mjue Chadema ipo kazini.. Watenda kazi ni wengi wenye ufahamu mzuri wa siasa za ushindani.
Leo jumapili tuko:
Kiwangwa, Pingo, Pera, Mindutulieni, Kwaikonje, Kilemela na Mandela. Maeneo yote haya kazi nzuri inafanyika. Wanaopiga kilele saana ni ishara ya kukamatika..
 
Iwapo nyie ni wapenda demokrasia si ushabiki njooni sehemu zifuatazo mjue Chadema ipo kazini.. Watenda kazi ni wengi wenye ufahamu mzuri wa siasa za ushindani.
Leo jumapili tuko:
Kiwangwa, Pingo, Pera, Mindutulieni, Kwaikonje, Kilemela na Mandela. Maeneo yote haya kazi nzuri inafanyika. Wanaopiga kilele saana ni ishara ya kukamatika..
kwa makadirio tutarajie chadema itaibuka na ushindi wa asilimia ngapi mkuu?
 
Najua yule mgombea ana bucha zake pale Chalinze ataziuza zote kupata pesa za kampeni, atakosa bucha na ubunge.

Has ahaaa siku ya hitima hatuna tabu na kiweo! Jamaa katiwa mkenge; nilitegemea kampeni za Chadema Chalinze ziwe tishio ukitilia maanani ni karibu sana na Ufipa! Na wale waganga njaa nao wamekimbia??
 
Bora CDM wajitoe tu ,anake ni sawa na kupoteza hela na muda kule Chalinze
 
Back
Top Bottom