Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Hela za kampeni hazijatoka tnasubiri ruzuku ya serikali ndiyo tuanze hizo kampeni vinginevyo mtatuona hivi hivi hatuna la kufanya.
Waende na vifaru kabisa chopa zimeshindwa.Nasikia safari hii wanashuka na chopa kumi
Nimemuona mh.Lema yupo bize na mambo ya KATIBA, nahisi huu mchakato wa KATIBA utawaharibia sana CDM hasa baada ya hotuba ya JK kuivuruga rasimu ya KATIBA iliyoletwa na Tume ya Jaji Warioba.
Taarifa sahihi zipo.. CHADEMA tunafanya kazi vizuri... Jumamosi hii tumefanya kazi kubwa sana mkange, mdaula, Lunga, Diozile, na Masimbane. Tutajitahidi kuwajuza habari Zaidi
Mwenyekiti CHADEMA (w) Bagamoyo.
Iwapo nyie ni wapenda demokrasia si ushabiki njooni sehemu zifuatazo mjue Chadema ipo kazini.. Watenda kazi ni wengi wenye ufahamu mzuri wa siasa za ushindani.
Leo jumapili tuko:
Kiwangwa, Pingo, Pera, Mindutulieni, Kwaikonje, Kilemela na Mandela. Maeneo yote haya kazi nzuri inafanyika. Wanaopiga kilele saana ni ishara ya kukamatika..
Nimemuona mh.Lema yupo bize na mambo ya KATIBA, nahisi huu mchakato wa KATIBA utawaharibia sana CDM hasa baada ya hotuba ya JK kuivuruga rasimu ya KATIBA iliyoletwa na Tume ya Jaji Warioba.
Nasikia safari hii wanashuka na chopa kumi
Hela za kampeni hazijatoka tnasubiri ruzuku ya serikali ndiyo tuanze hizo kampeni vinginevyo mtatuona hivi hivi hatuna la kufanya.
Nimemuona mh.Lema yupo bize na mambo ya KATIBA, nahisi huu mchakato wa KATIBA utawaharibia sana CDM hasa baada ya hotuba ya JK kuivuruga rasimu ya KATIBA iliyoletwa na Tume ya Jaji Warioba.
Nyie mabundi ya ccm mnajaza saver ya jf tu.
mtachonga sana chadema kama chuma kitabaki kuitwa chuma ata kama amtaki mlete nawewe mami wako awe kimada chopa ije kwenu