Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Wanajamvi!
Baada ya kuanza kwa kampeni ya M4C-Delete CCM kuanza Mkoani Tabora kwa kunzia kwa wilaya ya Igunga na Jimbo la Bukene kwa siku ya jana Tarehe 6/11/2014. Leo hii tarehe 7/11/2014 wakazi wa Manispaa ya Tabora wameipokea kwa hamasa kampeni hiyo ambapo mkutano wake ulifanyika katika kiwanja cha Town School ndani ya kata ya Gongoni.
kwa kuwa najua team ya MAZUZU ya Lumumba yakiongozwa na MSALANI yatadai ushahidi wa picha, inanibidi niweke picha na ikiwezekana maelezo kidogo ili wanajamvi muone jinsi Tabora walivyoamka na kuikataa CCM.
Baada ya kuanza kwa kampeni ya M4C-Delete CCM kuanza Mkoani Tabora kwa kunzia kwa wilaya ya Igunga na Jimbo la Bukene kwa siku ya jana Tarehe 6/11/2014. Leo hii tarehe 7/11/2014 wakazi wa Manispaa ya Tabora wameipokea kwa hamasa kampeni hiyo ambapo mkutano wake ulifanyika katika kiwanja cha Town School ndani ya kata ya Gongoni.
kwa kuwa najua team ya MAZUZU ya Lumumba yakiongozwa na MSALANI yatadai ushahidi wa picha, inanibidi niweke picha na ikiwezekana maelezo kidogo ili wanajamvi muone jinsi Tabora walivyoamka na kuikataa CCM.
Attachments
-
2014-11-07 17.01.19.jpg446.6 KB · Views: 182 -
2014-11-07 17.05.07.jpg326.1 KB · Views: 125 -
2014-11-07 17.05.38.jpg338.6 KB · Views: 126 -
2014-11-07 17.06.57.jpg269.7 KB · Views: 111 -
2014-11-07 17.09.37.jpg393.9 KB · Views: 100 -
2014-11-07 17.01.59.jpg278.3 KB · Views: 150 -
2014-11-07 18.22.11.jpg366.3 KB · Views: 120 -
2014-11-07 18.24.30.jpg361.5 KB · Views: 89 -
2014-11-07 17.53.48.jpg452.4 KB · Views: 94 -
2014-11-07 17.34.35.jpg345.6 KB · Views: 98 -
2014-11-07 17.34.06.jpg411.1 KB · Views: 102