Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Jana nimepata story moya kwamba kuna kundi moja la dini linapiga kampeni kali sana ya kutokunywa kinywaji tajwa hapo juu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo matangazo yake ya kuhamasisha ambayo yana muonesha MBWA aliye haramu kwao akiwa ameing'ata koka kola