Wananchi Tumesikia Jaji Werema? Kampeni ya Kukataa Katiba Ndio Imeanza. JK Kampata Jaji Werema na Wengine Waziri wa Sheria na Katiba Kuanza Kukataa Katiba kwa Kutumia Hii Misemo Watanzania Turekebishe Katiba kwa Kuweka Viraka Hatari ya Misemo Kutoka CCM INATISHIA AMANI NCHINI Hakuna Kitu Kingine Zaidi. Tukianza kwa Uteuzi wa Jaji Warema na Waziri wa Katiba, Hawa Wenyewe Wametuliwa Kinyume na Matakwa ya Watanzania. Hiki Kipengere cha Raisi Kuteua Wapiga Rangi Viatu Kutoka Kambi ya CCM Tumeshasema ni Hujuma kwa Nchi, Katiba Mpya Haita Ruhusu Uteuzi wa Hizi Nafasi za Serikali.
Hii Peke yake Sio Tosha Tu Katiba Mpya Itabadilisha Majaji Mahakamani, Wakuu wa Idara za Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya na Mawaziri Lazima Waidhinishwe kwa Kupitia Chombo cha Bunge. Bunge la Tanzania Ndicho Chombo cha Kuunda Bajeti, Sheria na Utaratibu wa Serikali Sio Wapiga Kura za Maoni za Raisi Yeyote Yule. Katiba Mpya Itarudisha Nguvu na Uwezo wa Mamlaka ya Bunge Kusimamia Serikali na Kupima Utendaji Wake, Hii ni Sehemu Muhimu ya Jamii ya Watanzania. Katiba Mpya Itatoa Mipaka ya Maamuzi ya Ofisi za Serikali Ikiwemo Ofisi ya Raisi na Baraza Lake na Chombo cha Mahakama Kitapewa Madaraka Bila Kuingiliwa na Siasa. Kikubwa ni Nafasi za Majaji Mikoani, Nafasi Zita Jazwa kwa Upigaji wa Kura za Wananchi. Katiba Mpya Itatoa Mamlaka kwa Mahakama na Vyombo vya Usalama Kupeleleza kwa Ubinafsi Kesi Yeyote Bila Kuingiliwa na Wanasiasa. Zaidi Katiba Mpya Itaondoa Immunity na Uwezo wa Kulinda Viongozi Waliofanya Vitendo vya Rushwa au Hujuma Zozote Zile na Kufikishwa Mahakamani Kulazimika Utendaji wa Haki. Hii Inahusisha Kuanzia Raisi, Mawaziri, Wakurugenzi, Majaji, na Maofisa Wote wa Serikali Watafishwa Mahakamani Bila Vipingamizi. Katiba Mpya Itazumzia kwa Kipengere cha Upigaji wa Kura Nchini kwa Ajili ya Kulinda Demokrasia. Katiba Mpya Itatoa Njia ya Wazi ya Upigaji Kura na Usimamizi Utakao Toa Haki kwa Vyama Vyote vya Siasa. Katiba Itatoa Ufafanuzi wa Kisheria Jinsi Gani Kamati ya Usimamizi wa Kura Utafanyika na Jinsi Gani Wagombea Watepewa Nafasi ya Kupinga Uchaguzi Katika Nafasi Zote.
Kikubwa Katiba Mpya Itazungumzia Kuondolewa kwa Madaraka ya Chama Kimoja Ndani ya Maamuzi. Katiba Mpya Itaweka Sheria za Haki za Uandishi wa Habari na Vyombo vya Habari Tanzania. Katiba Mpya Ndio Chanzo cha Maendeleo ya Nchi Yetu Sote. Wananchi Tusidanganyike na Mabadiliko Madogo Madogo Wanataka Kutufunga Kamba Kama Miaka Hiyo 50 Iliopita, Sasa Hatuna Muda na Tutapambana Nao Mitaani kwa Nguvu.
Hii Peke yake Sio Tosha Tu Katiba Mpya Itabadilisha Majaji Mahakamani, Wakuu wa Idara za Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya na Mawaziri Lazima Waidhinishwe kwa Kupitia Chombo cha Bunge. Bunge la Tanzania Ndicho Chombo cha Kuunda Bajeti, Sheria na Utaratibu wa Serikali Sio Wapiga Kura za Maoni za Raisi Yeyote Yule. Katiba Mpya Itarudisha Nguvu na Uwezo wa Mamlaka ya Bunge Kusimamia Serikali na Kupima Utendaji Wake, Hii ni Sehemu Muhimu ya Jamii ya Watanzania. Katiba Mpya Itatoa Mipaka ya Maamuzi ya Ofisi za Serikali Ikiwemo Ofisi ya Raisi na Baraza Lake na Chombo cha Mahakama Kitapewa Madaraka Bila Kuingiliwa na Siasa. Kikubwa ni Nafasi za Majaji Mikoani, Nafasi Zita Jazwa kwa Upigaji wa Kura za Wananchi. Katiba Mpya Itatoa Mamlaka kwa Mahakama na Vyombo vya Usalama Kupeleleza kwa Ubinafsi Kesi Yeyote Bila Kuingiliwa na Wanasiasa. Zaidi Katiba Mpya Itaondoa Immunity na Uwezo wa Kulinda Viongozi Waliofanya Vitendo vya Rushwa au Hujuma Zozote Zile na Kufikishwa Mahakamani Kulazimika Utendaji wa Haki. Hii Inahusisha Kuanzia Raisi, Mawaziri, Wakurugenzi, Majaji, na Maofisa Wote wa Serikali Watafishwa Mahakamani Bila Vipingamizi. Katiba Mpya Itazumzia kwa Kipengere cha Upigaji wa Kura Nchini kwa Ajili ya Kulinda Demokrasia. Katiba Mpya Itatoa Njia ya Wazi ya Upigaji Kura na Usimamizi Utakao Toa Haki kwa Vyama Vyote vya Siasa. Katiba Itatoa Ufafanuzi wa Kisheria Jinsi Gani Kamati ya Usimamizi wa Kura Utafanyika na Jinsi Gani Wagombea Watepewa Nafasi ya Kupinga Uchaguzi Katika Nafasi Zote.
Kikubwa Katiba Mpya Itazungumzia Kuondolewa kwa Madaraka ya Chama Kimoja Ndani ya Maamuzi. Katiba Mpya Itaweka Sheria za Haki za Uandishi wa Habari na Vyombo vya Habari Tanzania. Katiba Mpya Ndio Chanzo cha Maendeleo ya Nchi Yetu Sote. Wananchi Tusidanganyike na Mabadiliko Madogo Madogo Wanataka Kutufunga Kamba Kama Miaka Hiyo 50 Iliopita, Sasa Hatuna Muda na Tutapambana Nao Mitaani kwa Nguvu.