OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 52,073
- 114,571
Wakuu Id-Mubarak,
Katika awamu ya nne tulikuwa na mchakato wa kupata katiba mpya. Na katika mchakato wa awali kulikuwa na Tume ya Katiba Mpya, miongoni mwa wajumbe wa Tume-vijogoo walikuwa ni mwenyekiti Jaji Joseph Warioba, Prof.Kabudi Paramagamba, Humphrey Polepole, Prof.Mwesiga Beregu na Dr.Sengondo Mvungi(R.I.P).
Kwa mujibu wa wachambuzi inaaminika kwamba katiba iliyoletwa na Tume ilikuwa katiba iliyojaribu kwa kiasi kikubwa kuchukua mawazo ya Watanzania.Ikaitwa Katiba ya Warioba.Watawala wakaiona ni disaster kwao inaenda kuwazamisha kwa sababu ndani yake kuna uwajibishwaji mkubwa sana wa watawala, mbaya zaidi kulikuwa na hitaji la Tume Huru ya Uhaguzi, na sio Tume ya CCM ''inayotangaza matokeo kama yanavyotumwa-in Lubuva's Voice''
Hakika CCM ni noma, kwenye uchaguzi mkuu 2015, baadhi ya wajumbe wakanaswa, Mwenyekiti Jaji Warioba na H.Polepole, hadharani wakawasaliti waliokuwa nyuma.
Warioba akasikika akisema walikwamisha katiba ya Warioba wamehamia CHADEMA. Polepole akapewa ukuu wa Wilaya huku interior,Katika teuzi za juzi kati mwanae Kippi Warioba akapewa tena, ikaonekana huyu Polepole ni mtu adimu sana aje town-akapewa tena.
Jana kabla jua halijazama, KAMPA-KAMPA TENA kwa wajumbe wa iliyokuwa tume ya katiba mpya ikaendelea. Mwanasheria Prof.Kabudi akapewa uenyekiti TIB.Mwanasheria na investment?Nadhani ni kwa kuwa tu Jaji Warioba amechachoka na umri umekwea, la sivyo naye angepewa!Inachotaka kusema ni kwamba, huu uteuzi mfululizo wa walikuwa wajumbe wa tume sio kunyamazisha makelele ya Katiba ya Warioba? Katiba ya Warioba itaendelea kuwepo na kupiganiwa?au imekwenda na maji
Katika awamu ya nne tulikuwa na mchakato wa kupata katiba mpya. Na katika mchakato wa awali kulikuwa na Tume ya Katiba Mpya, miongoni mwa wajumbe wa Tume-vijogoo walikuwa ni mwenyekiti Jaji Joseph Warioba, Prof.Kabudi Paramagamba, Humphrey Polepole, Prof.Mwesiga Beregu na Dr.Sengondo Mvungi(R.I.P).
Kwa mujibu wa wachambuzi inaaminika kwamba katiba iliyoletwa na Tume ilikuwa katiba iliyojaribu kwa kiasi kikubwa kuchukua mawazo ya Watanzania.Ikaitwa Katiba ya Warioba.Watawala wakaiona ni disaster kwao inaenda kuwazamisha kwa sababu ndani yake kuna uwajibishwaji mkubwa sana wa watawala, mbaya zaidi kulikuwa na hitaji la Tume Huru ya Uhaguzi, na sio Tume ya CCM ''inayotangaza matokeo kama yanavyotumwa-in Lubuva's Voice''
Hakika CCM ni noma, kwenye uchaguzi mkuu 2015, baadhi ya wajumbe wakanaswa, Mwenyekiti Jaji Warioba na H.Polepole, hadharani wakawasaliti waliokuwa nyuma.
Warioba akasikika akisema walikwamisha katiba ya Warioba wamehamia CHADEMA. Polepole akapewa ukuu wa Wilaya huku interior,Katika teuzi za juzi kati mwanae Kippi Warioba akapewa tena, ikaonekana huyu Polepole ni mtu adimu sana aje town-akapewa tena.
Jana kabla jua halijazama, KAMPA-KAMPA TENA kwa wajumbe wa iliyokuwa tume ya katiba mpya ikaendelea. Mwanasheria Prof.Kabudi akapewa uenyekiti TIB.Mwanasheria na investment?Nadhani ni kwa kuwa tu Jaji Warioba amechachoka na umri umekwea, la sivyo naye angepewa!Inachotaka kusema ni kwamba, huu uteuzi mfululizo wa walikuwa wajumbe wa tume sio kunyamazisha makelele ya Katiba ya Warioba? Katiba ya Warioba itaendelea kuwepo na kupiganiwa?au imekwenda na maji