Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 59
- 24
Kuna rafiki yangu mmoja more than a friend alikua na mpenzi wake walipendana sana japo walianza wakiwa wadogo, walipeana ahadi nyingi sana maishani mwao mpaka wazazi wa pande mbili wote walijua mahusiano yao, bahati mbaya ama nzuri binti alikua anakaa na mama yake, kizuri ni kwamba mama yake binti alimpenda sana rafiki yangu hivyo basi akawa anashirikiana nae katika mambo mbalimbali japo rafiki yangu kwao hali ni duni.
Alijitahidi kadri ya uwezo wake,ndipo one day yule mama alimuomba rafiki yangu amkopeshe pesa na jamaa hakusita kumpa japo alimpa pesa ambayo ni ada ya shule kwa kua yule mama alisema atamrudishia but siku nenda siku rudi hakuna kurudishiwa pesa na shule anadaiwa ikabidi amwambie yule mama vipi kuhusu ile pesa duuuh kilichotokea mpaka sasa hakuna mahusiano mazuri hapo. Ushauri wenu wana JF tafadhali afanye nn?
Alijitahidi kadri ya uwezo wake,ndipo one day yule mama alimuomba rafiki yangu amkopeshe pesa na jamaa hakusita kumpa japo alimpa pesa ambayo ni ada ya shule kwa kua yule mama alisema atamrudishia but siku nenda siku rudi hakuna kurudishiwa pesa na shule anadaiwa ikabidi amwambie yule mama vipi kuhusu ile pesa duuuh kilichotokea mpaka sasa hakuna mahusiano mazuri hapo. Ushauri wenu wana JF tafadhali afanye nn?