Na mimi nkubali kabisa maana tangu aingie madarakani; Dawa kibao hospitalini, Deni la Taifa limekwisha, Mafisadi wamefungwa wote maisha, Watoto wa maskini wote wanapata Elimu bora, Wananchi anaekula mlo mmoja anapenda mwenyewe, Bei ya umeme ipo chini, Tatizo la maji nchini sasa ni historia, Utawala wa sheria hadi nchi za ulaya zinajifunza kwetu, Mishahara juu kila mwaka kwa watumishi na mengine meeengi ama kweli huyu ndo tumeletewa na Mungi tudichezee bahati