Kamati ya Rufaa TFF inasubiri nini kutoa maamuzi?

Kamati ya Rufaa TFF inasubiri nini kutoa maamuzi?

grafani11

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2011
Posts
15,441
Reaction score
5,820
Ni miezi mingi sasa imepita toka Rufaa ya Klabu ya Yanga kuwasilishwa kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, kitu cha kushangaza hatma ya wachezaji waliopewa adhabu kwa kosa la kumpiga mwamuzi I. Nkongo mpaka sasa haielweki. Vipi inasubiri nini, au limeshafukiwa ili mwanaharamu apite?
 
wanasubiri siku waki cheza na azam wataisoma..
 
Ni miezi mingi sasa imepita toka Rufaa ya Klabu ya Yanga kuwasilishwa kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, kitu cha kushangaza hatma ya wachezaji waliopewa adhabu kwa kosa la kumpiga mwamuzi I. Nkongo mpaka sasa haielweki. Vipi inasubiri nini, au limeshafukiwa ili mwanaharamu apite?
Unamaanisha kamati ya Tibaigana, kama ni hiyo mbona ishatoa maamuzi siku nyingi, fuatilia hiyo link mkuu utaona.
Kamati ya Nidhamu TFF yapangua adhabu Yanga | Tanzania news - TheHabari - Blog Tanzania
 
Back
Top Bottom