Nakumbuka siku moja nimekwenda kumtembelea JK.[JK Maana yake Jakaya Kikwete].
Halafu nikamwambia kwamba,I said to him,I will paraphrase what I said to him,''paraphrase'',yaani,siyo hasa maneno niliyotumia,lakini,hiyo ndiyo maana yake.
Nikamwambia,''Uchaguzi Mkuu unakaribia,utakuwa ni Uchaguzi Mkuu wa kwanza katika ambao takuwa ni Multiparty. Baada ya miezi mitatu watu watapiga kura. Lakini,ni ajabu kwamba ni Watanzania wachache sana wanaweza kusema kwamba wana fununu yoyote,ni nani anaweza kuwa Rais.'' JK akanitazama kwa mshangao. Hili lilikuwa ni jambo ambalo alikuwa hajalifikiria,ati kwamba kulikuwa na tatizo lolote katika election process jinsi ilivyokuwa inakwenda.
Halafu mimi nikaamka kuondoka,na JK Alipokuwa anniaga pale nje,ilikuwa ni dhahiri alivyokuwa anavyofikiria,kwamba'' huyu mtu ni fake,why did it take me such a long time to notice it?''
Baada ya hapo sikuonana na JK tena,mpaka baada ya muda mrefu nilipokuwa nyumbani Msasani alipofika Magige[ndugu yangu Magige]kutoka Butiama na kuniambia kwamba,''inaelekea kwamba rafiki yako Jakaya Kiwete amekaribia kuichukua nchi.'' Mimi nilistaajabu sana ,all this was news to me.
Mwalimu alikuwa amemuagiza Magige,kwamba aulize kuhusu political situation ilivyo Dar es Salaam,aulize watu,lakini asiwafahamishe kwamba anawauliza kwa madhumuni gani,halafu akamwambia,''be sure to question Andrew.'' Kwa hiyo mimi sijui kama nilisema jambo lolote ambalo lilipelekea Mwalimu kuchukua maamuzi aliyofanya wakati ule.