Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Nimesikia juzi kupitia vyombo vya habari kuwa kuna kamati ya bunge imeamuru jenereta inayotumiwa na mkurugenzi wa Tanesco Ndugu Muhando itolewe.
Je kwa kumpora hyo jenereta ndo tutakuwa tumemaliza tatizo la mgao unaoendelea nchini?
Yeye(Mhando) ndo alikuwa anatumia umeme mwingi sana kiasi kwamba hata mgao ukawa mkali?
Je hlo jenereta walilochukua kwa Muhando limetoa msaada gani katka kukomesha mgao wa umeme?
Kuna kitu gan kipo nyuma ya maamuzi hayo ya kamati? Je ni chuki binafsi au hila za kukomoana?
Je matatizo ya mgao yameletwa na Muhando,Tanesco au serikali kwa ujumla?
Kwa nini wasichukue jenereta anayotumia Ngeleja au ile anayotumia Malima?
Karibuni tujadili kwa pamoja.
Je kwa kumpora hyo jenereta ndo tutakuwa tumemaliza tatizo la mgao unaoendelea nchini?
Yeye(Mhando) ndo alikuwa anatumia umeme mwingi sana kiasi kwamba hata mgao ukawa mkali?
Je hlo jenereta walilochukua kwa Muhando limetoa msaada gani katka kukomesha mgao wa umeme?
Kuna kitu gan kipo nyuma ya maamuzi hayo ya kamati? Je ni chuki binafsi au hila za kukomoana?
Je matatizo ya mgao yameletwa na Muhando,Tanesco au serikali kwa ujumla?
Kwa nini wasichukue jenereta anayotumia Ngeleja au ile anayotumia Malima?
Karibuni tujadili kwa pamoja.