gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,886
Huyo jamaako kishakimbia,nimemuonesha uwongo wake,hiyo Hadith ya uthman kuchoma Quran na kitengeneza nyingine ni uwongo, Hadith hiyo ni hiiTatizo waislam ni maamuma, hawana elimu, utakuta wazee wamejazana misikitini huku hawaujui vema uislam wao, ni wabishi hata wakielezwa ukweli. Labda gen z wanaweza kubadilika na kuachana na upuuzi wa dini ya kiislam na kuwa huru kifikra
Ipo wapi hiyo nakala?Nakala iliyopo ni ya Karne ya Saba
Sahih Bukhari Hadiths Sahih Bukhari Hadiths
Maelezo yako ya hadithi ni ya uwongo
Uongo upi Mzee ?Nakala iliyopo ni ya Karne ya Saba
Sahih Bukhari Hadiths Sahih Bukhari Hadiths
Maelezo yako ya hadithi ni ya uwongo
Umebadili hadithi ya bukhari,Ile ingine imekuvuruga eeh!?
Hiyo hadithi si ndiyo ileile ambayo nimekuzodoa huko juu na kuonesha uwongo wako
Udadisi wako hukudadisi hilo na kupata majibu clear?Usinibadilishie mada
Sielewi mpaka sasa unachobishia ni kipiHiyo hadithi si ndiyo ileile ambayo nimekuzodoa huko juu na kuonesha uwongo wako
Sahih al-Bukhari 4987 - Virtues of the Qur'an - كتاب فضائل القرآن - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم) Sahih al-Bukhari 4987 - Virtues of the Qur'an - كتاب فضائل القرآن - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)
Kama humjui hafsa ni nani basi ni mke wa mtume binti wa ummar swahaba na khalifa wa pili baada ya uthman,hafsa alikua msomi na hafidhi Quran,akiwa na nakala halisi ya Quran tangu mtume
Hakuchoma moto Quran kwa mujibu wa hiyo hadith uliyotoa,hiyo hadith inaonesha watu wa Iraq na sham/levant,walitamka 'Quran' visivyo, ndiyo huyo jamaa akaja kumuambia mkuu wa dolaSielewi mpaka sasa unachobishia ni kipi
Uthman alichoma moto Quran au hakuchoma?
Uwongo,siyo his own version,alichukua nakala kwa mke wa mtume,utaitaje ni version ya uthman,Bora hata angetoa toka library yake mngekua na walau haki ya kusema version yake, acheni kulazimisha vituHadith ni hiyo hiyo ,sijui unabishia nini
Uthman alichoma Quran
Sielewi mpaka sasa unachobishia ni kipiView attachment 3541921
HakuchomaSielewi mpaka sasa unachobishia ni kipi
Uthman alichoma moto Quran au hakuchoma?
Hudhaifa alisema:Hakuchoma
Unaweza kunionesha popote pale Leo manuscript ya karne ya 7?Uwongo,siyo his own version,alichukua nakala kwa mke wa mtume,utaitaje ni version ya uthman,Bora hata angetoa toka library yake mngekua na walau haki ya kusema version yake, acheni kulazimisha vitu
Una akili timamu?!..sisi wenye Quran tunakwambia Quran hii ndiyo ileile aliyoacha mtume,nyaraka za kihistoria ikiwemo Hadith ya bukhari uliyotoa imeonesha mke wa mtume alikua na nakala iliyotumika kutoa kopi na kusambaza Iraq na levant, halafu bado unauliza Quran ya Karne ya Saba!?Unaweza kunionesha popote pale Leo manuscript ya karne ya 7?
Quran rasmi ilikuwepo kabla ya uthman, hadithi ya bukhari aliyotoa inaonesha uthman anaazima nakala ya Quran toka kwa mke wa mtume hafsa Ili atoe nakala nyingi atume sehemu tofautiNilitegemea historia ya kurasimishwa Quran moja ingeanza na Uthman ibn Affan