Kamati Kuu ya Chadema yafanya Usaili wa Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Kanda

Nikweli kwa Sasa nikama ifuatavyo:- 1. Wenyeviti wa jumuia na makatibu wao UWT,UVCCM, WAZAZI. 2. Wenyeviti wa mitaa, vijiji na wajumbe wao, 3. Madiwani na familia zao. Kwa wananchi wengine ni wa khanga, chupa za Chai na T-shirts hao ndo waimba mapambio

CCM ina wanachama mil 8 tu, wengi wakiwa familia za viongozi
E
 
Mi( na watu wengine wengi) hatuamini kwamba kipo chama ambacho kinaitwa "Chadema".
Migogoro imezidi Chadema.
Kwa hiyo Kwa akili zako CCM kuko shwari? Waliosemwa na Makonda kule Monduli wako Chadema? Tatueni Migogoro yenu kwanza mkimalizana muangalie ya Chadema. Na uzuri Chadema unaijua mpaka kuiandika na kuweka fungua semi na funga semi unajitoa tu ufahamu na haulali! Unasubiri mkono udondoke kama fisi utasubiri sana.
 
Back
Top Bottom