Taarifa kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinasema tayari chama hicho kimepanga kumuita Rostam katika mkutano wa Kamati Kuu (CC) uliopangwa kufanyika 30 Julai 2011 kwa lengo la kumwangukia. MwanaHalisi.
Nini kimejiri, amekubali kuhudhuria au kagoma tutaarifiane hapa jamvini.
Mkuu umesema kweli hawa jamaa siwaelewi wametaka ajiuzulu kafanya kama walivyotaka sasa wanamuita aje kufanya nini na kwa nini isiwaite waliogoma wawalazimishe?
7. Marekebisho ya sheria ya maandamano, yafutwe kabisa bse ndio yaliyokifikisha chama hapa.
8. Mtu atakayereplace RA kupiga deal kwa ajili ya kupata mkwanja wa 2015
9. kwa kuwa tathamini inaonesha njia ya kura halali haitaturejeshea jimbo la igunga, njia gani mbadala za kutumia ili kulipata lile jimbo.
10. sababu tunazowapa TZ kuwa ndio chanzo cha tatizo la umeme, wameanza kuzishtukia kuwa ni feki, tu brain storm kupata visingizio vipya (hapa mwenyekiti atasisitiza, LAZIMA TUWE CREATIVE 🙂 )