GE2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Awataka Askari Kuimarisha Uadilifu na Usalama Kabla ya Uchaguzi Mkuu

GE2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Awataka Askari Kuimarisha Uadilifu na Usalama Kabla ya Uchaguzi Mkuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Picha mbalimbali zikimuonesha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, akikagua gwaride na kuzungumza na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali katika viwanja vya Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Geita, Oktoba 20, 2025.

Ukaguzi huo ni sehemu ya tathmini ya mifumo ya utendaji kazi kwa Askari wa Jeshi la Polisi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Kupitia ukaguzi huo, Kamanda Jongo amewasisitiza Maafisa, Wakaguzi na Askari kuhakikisha wanazingatia weledi na uadilifu katika utekelezaji wa majukumu ya Jeshi la Polisi ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao.
1760991395205.png


1760991424893.png


1760991476984.png
 
Back
Top Bottom