Mchumi90
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,102
- 1,331
Huyu kamanda anajulikana kwa umahiri wake wa kupambana na wahalifu. But practically kwa jiji la DSM yamemshinda na waliomshinda ni vitoto vidogo vinavyojiita PANYA ROAD. Hawa watu ni kero sana kwa wakazi wa maeneo ya nje ya mji. Leo nilimtembelea ndugu yangu maeneo ya Mbagala Kiburugwa nimewaona live jinsi walivyowatia hasara na ulemavu baadhi ya raia.
Ni kikundi hatari zaidi ya Scropion maana kwa wao kukupasua kichwa sio issue yaan, kuna fundi alikuwa anagoma kutoa hela nasikia wamemkata sikio (Nadhani ataonana na Makonda ili apate msaada). Usiombe ukakutana nao hao jamaa.
Kamanda Siro kama jiji limewashinda mseme maana kama mkiamua kutumia nguvu kama ile ya mazoezi ya Ukuta mtawasambaratisha. Tunaomba tamko la jeshi la polisi juu ya hawa wahuni.
Cc Simon Siro na Crew yake.
Ni kikundi hatari zaidi ya Scropion maana kwa wao kukupasua kichwa sio issue yaan, kuna fundi alikuwa anagoma kutoa hela nasikia wamemkata sikio (Nadhani ataonana na Makonda ili apate msaada). Usiombe ukakutana nao hao jamaa.
Kamanda Siro kama jiji limewashinda mseme maana kama mkiamua kutumia nguvu kama ile ya mazoezi ya Ukuta mtawasambaratisha. Tunaomba tamko la jeshi la polisi juu ya hawa wahuni.
Cc Simon Siro na Crew yake.